CHADEMA: Mtatafuta namna ya kumfukuza Lowassa

CHADEMA: Mtatafuta namna ya kumfukuza Lowassa

CosaNostra

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
382
Reaction score
139
Kwa bahati nzuri tuko Tanzania ile ile ya 1995 ambayo Mrema alivuma sana na tukaamini atapata urais. Mrema hakuwa na kashfa yoyote ya ufisadi wakati ule, ila CCM waliweka kigezo cha elimu ya chuo kikuu ambayo Mrema hakuwa nayo. Watu kama Mrema (wa enzi zile) na Lowassa wa sasa wanasumbuliwa na kitu kimoja.
Nilweka uzi hapa mwezi May, wakati Lowassa yupo CCM,kuwa "KINACHOMSUMBUA LOWASSA NI HIKI" unaweza kurejea uzi huo.
Watu wa dizaini hii kamwe hawariziki kuwa chini ya mtu au mfumo fulani, Lowasa alikuwa anangojea tu muda wake ufike CCMimpe bendera kugombea urais. Amekosa huko na kuja CDM kwa lengo lilelile. Nachoamini ni kuwa kamwe CCM hawataiachia nchi kwa Lowasa - IWE IWEJE - HAWATAWEZA, bora Dr. Slaa wasingeweka nguvu kubwa na mbinu kumzuia.
Kwa hiyo nachosema Lowasa hatapata urais wa Tanzania.
then what?
Baada ya uchaguzi - naamini UKAWA watapata wabunge wengi sana, kitakachobaki kwa Lowasa na timu yake, wakwasi wa fedha - Rostam, Chenge, Karamagi, na wengineo watataka kuongoza chama ili kulitawala bunge. CHADEMA mnayoiona leo itatawaliwa na fedha, fedha za mafisadi.
Hapo ndipo mtakapotafuta namna ya kumwondoa msiweze kwa kuwa kundi lake litakuwa limeiteka CHADEMA na mtabaki na majuto.
Iko siku mtakumbuka thread hii. Nimesema!
 
Kwa bahati nzuri tuko Tanzania ile ile ya 1995 ambayo Mrema alivuma sana na tukaamini atapata urais. Mrema hakuwa na kashfa yoyote ya ufisadi wakati ule, ila CCM waliweka kigezo cha elimu ya chuo kikuu ambayo Mrema hakuwa nayo. Watu kama Mrema (wa enzi zile) na Lowassa wa sasa wanasumbuliwa na kitu kimoja.
Nilweka uzi hapa mwezi May, wakati Lowassa yupo CCM,kuwa "KINACHOMSUMBUA LOWASSA NI HIKI" unaweza kurejea uzi huo.
Watu wa dizaini hii kamwe hawariziki kuwa chini ya mtu au mfumo fulani, Lowasa alikuwa anangojea tu muda wake ufike CCMimpe bendera kugombea urais. Amekosa huko na kuja CDM kwa lengo lilelile. Nachoamini ni kuwa kamwe CCM hawataiachia nchi kwa Lowasa - IWE IWEJE - HAWATAWEZA, bora Dr. Slaa wasimgeweka nguvu na mbinu kumzuia.
Kwa hiyo nachosema Lowasa hatapata urais wa Tanzania, then what?
Baada ya uchaguzi naamini UKAWA watapata wabunge wengi sana, kitakachobaki kwa Lowasa na timu yake, wakwasi wa fedha - Rostam, Chenge, Karamagi, na wengineo watataka kuongoza chama ili kulitawala bunge.
Hapo ndipo mtakapotafuta namna ya kumwondoa msiweze kwa kuwa kundi lake litakuwa limeiteka CHADEMA na mtabaki na majuto.
Iko siku mtakumbuka thread hii. Nimesema!

Wacha kuweweseka wewe,kapate chai kwanza
 
Umeandika nini? Huo ni uchambuzi au ngonjera unaimba? Sijakwelewa au umechomekewa ndo unatweleza utam wa kitu
 
Kwa bahati nzuri tuko Tanzania ile ile ya 1995 ambayo Mrema alivuma sana na tukaamini atapata urais. Mrema hakuwa na kashfa yoyote ya ufisadi wakati ule, ila CCM waliweka kigezo cha elimu ya chuo kikuu ambayo Mrema hakuwa nayo. Watu kama Mrema (wa enzi zile) na Lowassa wa sasa wanasumbuliwa na kitu kimoja.
Nilweka uzi hapa mwezi May, wakati Lowassa yupo CCM,kuwa "KINACHOMSUMBUA LOWASSA NI HIKI" unaweza kurejea uzi huo.
Watu wa dizaini hii kamwe hawariziki kuwa chini ya mtu au mfumo fulani, Lowasa alikuwa anangojea tu muda wake ufike CCMimpe bendera kugombea urais. Amekosa huko na kuja CDM kwa lengo lilelile. Nachoamini ni kuwa kamwe CCM hawataiachia nchi kwa Lowasa - IWE IWEJE - HAWATAWEZA, bora Dr. Slaa wasimgeweka nguvu na mbinu kumzuia.
Kwa hiyo nachosema Lowasa hatapata urais wa Tanzania, then what?
Baada ya uchaguzi naamini UKAWA watapata wabunge wengi sana, kitakachobaki kwa Lowasa na timu yake, wakwasi wa fedha - Rostam, Chenge, Karamagi, na wengineo watataka kuongoza chama ili kulitawala bunge.
Hapo ndipo mtakapotafuta namna ya kumwondoa msiweze kwa kuwa kundi lake litakuwa limeiteka CHADEMA na mtabaki na majuto.
Iko siku mtakumbuka thread hii. Nimesema!

Uzi wako umekaa kiumbea umbea na kukosa matumaini ya maisha
 
Mimi nakubaliana nawe. Lakini pia wana uwezo wa kuyakabili hayo mapema kwa kuweka kanuni na taratibu zinazofaa.
 
Ukitazama michango ya wafuasi wa CHADEMA bora ubaki mtazamaji tu, Ni zaidi ya mazuzu, hawana tofauti na mibunge ya ccm inayojua kusema ndioooo
 
Back
Top Bottom