CHADEMA mna mpango wa kujinasua mlipokwama?

CHADEMA mna mpango wa kujinasua mlipokwama?

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,744
Reaction score
5,769
Nyie ndio chama kikuu cha upinzani kwa sasa, lakini inaonena hali si shwari kabisa. Wanachama wanawakimbia nyie mnatoa kisingizio kuwa wananunuliwa(ushahidi haupo)

Viongozi wenu wanahukumiwa kwa kosa la jinai nyie mnaleta propaganda,mara account zimefungwa, tumechangiwa na wananchi n.k

Wananchi wanaona kama wazee wa kupiga ili kujaza matumbo yenu tu(hawana imani na nyie tena) Wala hamhangaiki.

Uchaguzi umekaribia mmebaki kuleta visingizio vya tume huru(mmekubali kushindwa)

Sasa ni kama hamna mikakati kabisa. Au ndio kusema Dk Slaa aliondoka na mikakati madhubuti!
 
Uthibitisho umeona wewe mchana kweupe kwa mashinji walivyotoa pesa sasa washindwe kununua wapinza ambao wengi wao ni madiwani cheapest product. Kuondoka kwa mchezaji hakumfanyi shambiki wa timu kuama timu yake
 
Nyie ndio chama kikuu cha upinzani kwa sasa, lakini inaonena hali si shwari kabisa. Wanachama wanawakimbia nyie mnatoa kisingizio kuwa wananunuliwa(ushahidi haupo)

Viongozi wenu wanahukumiwa kwa kosa la jinai nyie mnaleta propaganda,mara account zimefungwa, tumechangiwa na wananchi n.k

Wananchi wanaona kama wazee wa kupiga ili kujaza matumbo yenu tu(hawana imani na nyie tena) Wala hamhangaiki.

Uchaguzi umekaribia mmebaki kuleta visingizio vya tume huru(mmekubali kushindwa)

Sasa ni kama hamna mikakati kabisa. Au ndio kusema Dk Slaa aliondoka na mikakati madhubuti!
Hivi kwanini husipate corona ukatupisha?
 
Uthibitisho umeona wewe mchana kweupe kwa mashinji walivyotoa pesa sasa washindwe kununua wapinza ambao wengi wao ni madiwani cheapest product. Kuondoka kwa mchezaji hakumfanyi shambiki wa timu kuama timu yake
Hawa jamaa kumlipia mwanachama wao fine sio kumnunua.
 
Hawa jamaa kumlipia mwanachama wao fine sio kumnunua.


Wapo Wanachama wakongwe walio na matatizo kuliko ya mashinji hawajapata msaada toka ccm hata wa shilingi moja.

MASHINJI ANA THAMANI SANA KULIKO HAO WAZEE WANAOTESEKA BAADA KUTUMIKA NA CCM?
 
Kweli wewe ni Chagu, Kwa akili hizi bora corana ije ituondolee matahira kama nyie
Nyie ndio chama kikuu cha upinzani kwa sasa, lakini inaonena hali si shwari kabisa. Wanachama wanawakimbia nyie mnatoa kisingizio kuwa wananunuliwa(ushahidi haupo)

Viongozi wenu wanahukumiwa kwa kosa la jinai nyie mnaleta propaganda,mara account zimefungwa, tumechangiwa na wananchi n.k

Wananchi wanaona kama wazee wa kupiga ili kujaza matumbo yenu tu(hawana imani na nyie tena) Wala hamhangaiki.

Uchaguzi umekaribia mmebaki kuleta visingizio vya tume huru(mmekubali kushindwa)

Sasa ni kama hamna mikakati kabisa. Au ndio kusema Dk Slaa aliondoka na mikakati madhubuti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uthibitisho umeona wewe mchana kweupe kwa mashinji walivyotoa pesa sasa washindwe kununua wapinza ambao wengi wao ni madiwani cheapest product. Kuondoka kwa mchezaji hakumfanyi shambiki wa timu kuama timu yake

Na Msigwa tayari kanunuliwa bado tu kutangaza, au nakosea?
 
Nyie ndio chama kikuu cha upinzani kwa sasa, lakini inaonena hali si shwari kabisa. Wanachama wanawakimbia nyie mnatoa kisingizio kuwa wananunuliwa(ushahidi haupo)

Viongozi wenu wanahukumiwa kwa kosa la jinai nyie mnaleta propaganda,mara account zimefungwa, tumechangiwa na wananchi n.k

Wananchi wanaona kama wazee wa kupiga ili kujaza matumbo yenu tu(hawana imani na nyie tena) Wala hamhangaiki.

Uchaguzi umekaribia mmebaki kuleta visingizio vya tume huru(mmekubali kushindwa)

Sasa ni kama hamna mikakati kabisa. Au ndio kusema Dk Slaa aliondoka na mikakati madhubuti!
Hivi CCM imechukua akili zenu zote, hata kiasi kidogo hamjabakiziwa?
Jitu zima unakurupuka kuanzisha uzi wa kipumbavu namna hii?

Ni kweli kwamba hujui CDM wanavyo nyanyaswa na utawala huu, au ndo bila buku7 maisha hayaendi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa ya kukuknua Msigwa imetembezwa mchsna kweupee, sherehe iliandaliwa lumumba, mwenezi alienda na magari ya Ikulu, unataka ushahidi gsni mwingine?
Kama raisi alilipa kulikuwa na ulazima wa magari ya Ikulu kumfuata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndio chama kikuu cha upinzani kwa sasa, lakini inaonena hali si shwari kabisa. Wanachama wanawakimbia nyie mnatoa kisingizio kuwa wananunuliwa(ushahidi haupo)

Viongozi wenu wanahukumiwa kwa kosa la jinai nyie mnaleta propaganda,mara account zimefungwa, tumechangiwa na wananchi n.k

Wananchi wanaona kama wazee wa kupiga ili kujaza matumbo yenu tu(hawana imani na nyie tena) Wala hamhangaiki.

Uchaguzi umekaribia mmebaki kuleta visingizio vya tume huru(mmekubali kushindwa)

Sasa ni kama hamna mikakati kabisa. Au ndio kusema Dk Slaa aliondoka na mikakati madhubuti!
Jinga wewe
 
Back
Top Bottom