CHADEMA Mkwawa wajiunga na CHASO

CHADEMA Mkwawa wajiunga na CHASO

Vijana zingatieni masomi. Msikubali kulaghaiwa na wanasiasa.

Muasisi wa chadema Mzee Mtei alikataa kushiriki harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika. Sababu anayotoa ni kwamba alikuwa hataki kudisturb masomo yake ya chuo kikuu. Sasa nyinyi anawadanganya mdisturb masomo yenu, ili yeye ajipatie ruzuku kwenye chama chake.

Ukifeli, wa kwanza kuathirika na hasara ni wewe na familia yako.

ana akili sana kwani alijua vichaa na wadini ndo watachukua nchi
 
Vijana zingatieni masomo. Msikubali kulaghaiwa na wanasiasa...


kwel mkuu, tumegoma kulaghaiwa na wanasiasa (ccm) na kuungana na wanamabadiliko (cdm). Karibu tuungane pamoja mkuu km ushauri wako ulikuwa wakutoka moyoni.
 
Haki yao ya kwanza ni kutafuta elimu ya chuo kikuu. Hicho ndicho kilichowaweka hapo chuoni. Haya mambo ya kumtafutia Dr. Slaa pesa za kujikopesha wakilifanya muhimu kuliko masomo yao WATAPOTEA na baadae wataishia KUJUTA...
Acha wivu wewe, kama unaumia sana meza wembe basi.

Kwanini umeshindwa kuwaonya wale Mburula wa UVCCM kutoka Jordan University waliopost leo humu kuwa wana kikao kwenye Bar fulani pale Morogoro?
Anza na wale kisha ndio uje humu kupost mashudu.
 
Haki yao ya kwanza ni kutafuta elimu ya chuo kikuu. Hicho ndicho kilichowaweka hapo chuoni. Haya mambo ya kumtafutia Dr. Slaa pesa za kujikopesha wakilifanya muhimu kuliko masomo yao WATAPOTEA na baadae wataishia KUJUTA...
Acha wivu wewe, kama unaumia sana meza wembe basi.

Kwanini umeshindwa kuwaonya wale Mburula wa UVCCM kutoka Jordan University waliopost leo humu kuwa wana kikao kwenye Bar fulani pale Morogoro?
Anza na wale kisha ndio uje humu kupost mashudu.
 
Waache wadanganyike na wachumia tumbo wanaojifanya wanapigania maslah ya watanzania kumbe wanatafuta pesa za kulelea wake wa kuiba.
Mwisho watajuta wakila suplimentaly, na ma discontinuity watatia akili.
 
wamuulize mtela mwampamba, muanzilishi wa hiyo chaso, atawaeleza yaliyomkuta. nyie dandieni tu gari kwa mbele/

Ndugu wanajamvi,

Napenda kuwajuza kuwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ktk chuo kikuu kishiriki cha Mkwawa hii leo wamekubaliana kwa kauli moja ya kujiunga na shirikisho la wanachama wa CHADEMA wanao soma vyuo vikuu hapa nchini kwa kifupi CHASO.CHASO ktk mkoa wa Iringa inashirikisha vyuo vya Mkwawa,RUCO na Tumaini.

Hivi karibuni kulizuka sintofaham baina ya wanachama wa CHADEMA Mkwawa kuhusu muundo wa shirikisho hilo,hata hivyo ktk kikao cha leo wanachama wa chama cha demokrasia Mkwawa wamekubaliana kujiunga na shirikisho hilo ikwa nikuonyesha ukomavu wa kisiasa na kuimarisha zaidi dhana ya CHADEMA ya utawala wa majimbo itakayo tekelezwa kuanzia mwaka 2015 pale dola itakapokuwa mikononi mwa CHADEMA.

Katika hatua nyingine katibu mwenezi wa chama Tawi la Mkwawa alipokuwa akisoma ripoti ya chama aliwambia wanachama kuwa,CHADEMA sasa Mkwawa inaimarika kila kukicha idadi kubwa ya wanachama wamekuwa wakiongezeka nakufanya chama kizidi kuwa na nguvu.

Ndugu wanajumvi ni mtaji mkubwa sana kwa CHADEMA kuona jamii ya wasomi hususa ni waalimu wanao deal na kizazi cha kesho wanajiunga na jeshi la ukombozi.

VIVA CHADEMA.
 
ZEmarcopolo bwana....nahisi na huu ndo ukweli UBONGO wako utakua umevia si haba ni zaidi ya kuvia.
 
Mpe mambo,nimeipenda sana.kama wewe ni kijana wa kisasa na msomi usipoipenda CHADEMA basi elimu uliyoipata kamwe aijakukomboa na kamwe haitakukomboa.vijana tunaitaji mabadiliko(political reforms) vijana tubadilike bwana.
 
Kiburi si maungwana

ccm acheni dharau

mbona ccm inahofia maandamano ya chadema ?
 
Back
Top Bottom