Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,708
- 8,747
Kadri siku zinavyokwenda tunaona jinsi CHADEMA inavyokimbiwa na wanachama wake hasa wale waliotoka CCM
Wengi wao wanakuja CHADEMA baada ya kupata matatizo CCM ,na bila kutafakari kwa kina wanabebwa tu na kuingizwa chamani bila kuchunguzwa
Mwisho wa siku wakiona hawana maslahi ndani ya chama wanaamua kurudi kwao CCM
Huu utaratibu muuache wa kupokea pokea makada wa CCM wanawaharibia chama manake wengi wanaondoka kwa kutoa maneno machafu dhidi ya CHADEMA
Huyu WEMA mliemkaribisha baada ya kupata matatizo CCM Leo hii kawakimbia na kurudi alikotoka
Mjitathini.
Wengi wao wanakuja CHADEMA baada ya kupata matatizo CCM ,na bila kutafakari kwa kina wanabebwa tu na kuingizwa chamani bila kuchunguzwa
Mwisho wa siku wakiona hawana maslahi ndani ya chama wanaamua kurudi kwao CCM
Huu utaratibu muuache wa kupokea pokea makada wa CCM wanawaharibia chama manake wengi wanaondoka kwa kutoa maneno machafu dhidi ya CHADEMA
Huyu WEMA mliemkaribisha baada ya kupata matatizo CCM Leo hii kawakimbia na kurudi alikotoka
Mjitathini.
