CHADEMA, Membe huyo. Kazi kwenu

Unachekesha kweli. Asilimia 98 ya wanachadema ni wasaka tonge waliotokea ccm. Sasa unatueleza nini. kajifunze kujenga hoja bado haujashawishi watu
Utachekesha sana kama utashangazwa na hiyo asilimia kutokea CCM. Kwani hapo awali kulikuwa na chama gani zaidi ya CCM?
Hilo swali lingekuwa miaka 20 ijayo linaweza kuwa na maana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wachangiaji mnakumbuka sheria imetungwa na bunge mwaka Jana . ili uweze kugombea ni sharti uwe umedumu kwenye chama miaka miwili kabla ya uchaguzi. Chama dola kiliumizwa sana na ENLowassa, hawataki tena hali ile ijitokeze. Ile fedheha inatosha ,kura 6 mil. Upinzani haiwezi kuruhusiwa na chama dola tena. Membe akihama Leo hana sofa ya kugombea chadema( bado miezi 12uchaguzi ujao. Sheria nyingi na kanunui nyingi zimebana upinzani. Frankly speaking upinzanihauna future Tanzania
Nyerere tunamurenzi mdomoni lakini kila legacy aliyoacha mzee wetu tumemzika nayp. Tunamuenzi kwa mapambio ila kwa vitendo ni zero
Tujiandae kisaikolojia kuchapa mzigo bila upinzani. Ingawa upinzani ilikuwa raha sana. Wamemalizana na upinzani sasa wanashughulikana wao kwa wao. Aliyesherehesha kuwa atawabatiza kwa moto yeye ni Wa kwanza kubatizwa kwa njia hiyo atakapohojiwa na kamati ya maadili. Namuombea mzee wetu sukari ispande roho ikaacha mwili, kama hayati Kolimba. Saikolojia na fiziolojia ya mwili huwezi kuwekwa kitimoto na watu wengi kwa muda mrefu mwili ukabaki salama . mwili utaitika kwa kupanda pressure au sukari kama una moja ya uognjwa huo
Chama dola kimeshakula nyama ya MTU , dhambi hakiwezi kuiacha. Ni mwendo mdundo kama hawana upinzani watauunda hata kati yao wao kwa wao na MTU atasulubiwa tu. Wanapopitisha sheria kwa mbwembwe wajue zinagusa wote. Zamani ccm ikikuona na unaamimni umeonewa ulikuwa unaenda upinzani na unaata ubunge ,sasa hivi marufuku hadi miaka 2 ipite. Mtego Wa panya wanatengeneza na wao unawanasa . Safi sana








Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama ni hivi bado runaendelea kuyaenzi maneno ya Baba wa Taifa kwamba upinzani utatokea CCM. Tuendelee kuwaombea wawekane kitimoto, na kwa kuwa hakuna pa kukimbilia kwa ajili ya kuchukua fomu, basi maneno na yatimie. Lakini kiuhalisia kwa intelijensia na mikakati ya chama Dola usishangae kuona panatokea jambo ambalo ni zaidi ya hiyo sheria ya kudumu ndani ya chama kwa miaka miwili. Wakiona inawabana wanaweza kuifanyia amendments. Hawashindwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wakitumia method hii tena ndipo nitajua system yetu haiko vzr kuundanganya ulimwengu wa mabeberu . Safari hii watumike wale waliopandikizwa tangu mwanzo wako huko, halafu wafanye chini ya kiwango ili ccm ipite kirahisi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twenty Twenty hakuna uchaguzi, bora tubane matumizi ili kuokoa muda na fedha.... tunaoumia ni sisi.
 
Unachekesha kweli. Asilimia 98 ya wanachadema ni wasaka tonge waliotokea ccm. Sasa unatueleza nini. kajifunze kujenga hoja bado haujashawishi watu
Sishangai hata kidogo kwa sababu mfumu wa vyama vingi ulianza 1992 na watu wote waliozaliwa kabla ya mwaka huo walikuwa CCM kwa maana kwamba ndo kilikuwa chama pekee cha siasa. Wengi wa wana Chadema, CUF, ACT-W, NCCR-M na kadhalika, kama walikuwa na inclination ya kisiasa za kichama basi walikuwa wanaCCM.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa mizengwe inayoendelea huko CCM kile kinachoenda kutendeka mwakani, ni wazi kwamba kuna maandalizi kabambe ya kuvuruga tena upinzani nchini. Namuona mwanadiplomasia mashuhuri 'akitoswa' na chama chake katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

Nawaona CCM wanavyosuka tena mpango wa huyu nguli kuangukia upinzani na hatimaye kuwania kupewa rungu la kupeperusha bendera ya UKAWA. Nawaona baadhi ya wanaukawa wanavyotamani hili litokee, lakini nawaona wanaukawa makini wakisema safari hii ni BIG NO!

Jaribio la kuipasua CCM lililofanyika miaka kadhaa iliyopita lilifanikiwa angalau kwa asilimia nyingi. Palikosekana tu nguvu ya ziada kumalizia mpasuko huo. Hivyo jitihada ziendelee kufanyika kuona ni namna gani CCM inadhoofishwa kimikakati lakini upinzani ukihakikisha kuwa hawazibi tena tundu la panya kwa keki. Ni hayo tu kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Virus required
 
Ni wajinga tu ndo wanaamini kuwa wataiondoa ccm madarakani kwa yale masanduku na makaratasi ya kura...
Wakati wenzenu watangazwa nyie mnataka kushinda!!
 
Kwa mizengwe inayoendelea huko CCM kile kinachoenda kutendeka mwakani, ni wazi kwamba kuna maandalizi kabambe ya kuvuruga tena upinzani nchini. Namuona mwanadiplomasia mashuhuri 'akitoswa' na chama chake katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

Nawaona CCM wanavyosuka tena mpango wa huyu nguli kuangukia upinzani na hatimaye kuwania kupewa rungu la kupeperusha bendera ya UKAWA. Nawaona baadhi ya wanaukawa wanavyotamani hili litokee, lakini nawaona wanaukawa makini wakisema safari hii ni BIG NO!

Jaribio la kuipasua CCM lililofanyika miaka kadhaa iliyopita lilifanikiwa angalau kwa asilimia nyingi. Palikosekana tu nguvu ya ziada kumalizia mpasuko huo. Hivyo jitihada ziendelee kufanyika kuona ni namna gani CCM inadhoofishwa kimikakati lakini upinzani ukihakikisha kuwa hawazibi tena tundu la panya kwa keki. Ni hayo tu kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM, wasijidanganye kumtosa Membe! zama hizi si za kina Mlema Lyatonga. ccm, itavunjika si kawaida, kwa mikakati iliyopo wapinzani waliusoma mchezo miaka mingi sana, wapinzani wa leo ni vijana wasomi tena wajuaji, hawataki wazee Mamluki, wqnaotumwa na ccm
 
Anakaribishwa kama mwanachama wa kawaida lakini kama anakuja na ulafi wa madaraka bora akajiunge na Sumaye wanywe kahawa tu wakielezana walivyokula nchi wakati ni mawaziri.
 
Hivi wachangiaji mnakumbuka sheria imetungwa na bunge mwaka Jana . ili uweze kugombea ni sharti uwe umedumu kwenye chama miaka miwili kabla ya uchaguzi. Chama dola kiliumizwa sana na ENLowassa, hawataki tena hali ile ijitokeze. Ile fedheha inatosha ,kura 6 mil. Upinzani haiwezi kuruhusiwa na chama dola tena. Membe akihama Leo hana sofa ya kugombea chadema( bado miezi 12uchaguzi ujao. Sheria nyingi na kanunui nyingi zimebana upinzani. Frankly speaking upinzanihauna future Tanzania
Nyerere tunamurenzi mdomoni lakini kila legacy aliyoacha mzee wetu tumemzika nayp. Tunamuenzi kwa mapambio ila kwa vitendo ni zero
Tujiandae kisaikolojia kuchapa mzigo bila upinzani. Ingawa upinzani ilikuwa raha sana. Wamemalizana na upinzani sasa wanashughulikana wao kwa wao. Aliyesherehesha kuwa atawabatiza kwa moto yeye ni Wa kwanza kubatizwa kwa njia hiyo atakapohojiwa na kamati ya maadili. Namuombea mzee wetu sukari ispande roho ikaacha mwili, kama hayati Kolimba. Saikolojia na fiziolojia ya mwili huwezi kuwekwa kitimoto na watu wengi kwa muda mrefu mwili ukabaki salama . mwili utaitika kwa kupanda pressure au sukari kama una moja ya uognjwa huo
Chama dola kimeshakula nyama ya MTU , dhambi hakiwezi kuiacha. Ni mwendo mdundo kama hawana upinzani watauunda hata kati yao wao kwa wao na MTU atasulubiwa tu. Wanapopitisha sheria kwa mbwembwe wajue zinagusa wote. Zamani ccm ikikuona na unaamimni umeonewa ulikuwa unaenda upinzani na unaata ubunge ,sasa hivi marufuku hadi miaka 2 ipite. Mtego Wa panya wanatengeneza na wao unawanasa . Safi sana








Sent using Jamii Forums mobile app
Mku huo mtego ni simple tu. Unachofanya kama wameweka miaka 2 sasa wewe kwanini usihame miaka 2 na nusu au miaka 2 na siku 10 tu ili uweze kugombea kule unakokwenda.

Kila kitu ni mahesabu ya kutoa na kujumulisha. Tuwe tunapanga mapema mambo.
 
Back
Top Bottom