CHADEMA Mbozi wasombwa kituoni

CHADEMA Mbozi wasombwa kituoni

Mweru Mzeru

Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
9
Reaction score
0
Gundu linazidi kuwaandama Chadema!! Viongozi madiwani wao na viongozi wa serikali za mitaa wasombwa ndaniii polisi vwawa na mpaka sasa wananyea debe
 
Mbona hueleweki wamepelekwa ndani kwa kosa gani au unawahi posho
 
Mbupu wewe...kama huwezi kuandika acha...siyo lazima utoe taarifa...kwanza kwa jinsi ulivyoandika ni kama vile unafurahia hilo tukio.
 
Jina lake tu hapo juu linaonyesha akili zake zilivyo vurungwa.
 
Gundu linazidi kuwaandama Chadema!! Viongozi madiwani wao na viongozi wa serikali za mitaa wasombwa ndaniii polisi vwawa na mpaka sasa wananyea debe

Wewe mawazo yako yako kwenye kunya tu, eti wananyea debe! ha ndio kilichokuleta mbio kuripoti mavi ndorooooobo we.
 
Gundu linazidi kuwaandama Chadema!! Viongozi madiwani wao na viongozi wa serikali za mitaa wasombwa ndaniii polisi vwawa na mpaka sasa wananyea debe
Hii ni ile ishu walivyotwangana siku ile kwenye kikao chao cha nadani cha kutafuta wagombea ndani ya chama.
 
Gundu linazidi kuwaandama Chadema!! Viongozi madiwani wao na viongozi wa serikali za mitaa wasombwa ndaniii polisi vwawa na mpaka sasa wananyea debe

UKIWA NA ROHO MBAYA NA YA OVYO KAMA YA UYU MZERU Si AJABU UKIZEEKA UKAWA MCHAWI AU SANGOMA
 
gundu linazidi kuwaandama chadema!! Viongozi madiwani wao na viongozi wa serikali za mitaa wasombwa ndaniii polisi vwawa na mpaka sasa wananyea debe

hiyo ndio hobby yao selo .watu wa shari na maandamano
 
Hii ni ile ishu walivyotwangana siku ile kwenye kikao chao cha nadani cha kutafuta wagombea ndani ya chama.

eti na huyu tupo nae ccm? ndio maana tunadharauliwa sana kwa akili mbovu kama hili kubwa zima ubongo mdogo.
 
Ni baada ya kuonyesha kuwa wao ndio walihusika kumtia adabu mwenyekiti wao bwana China na kumpa adabu ya kutosha kabisa!! Hivyo basi jeshi la polisi limewatia mbaroni wahusika hawa viongozi wa na cha kuchekesha redbriguad waliokula mkong'oto wametelekezwa bila msaada wa matibanu
 
Back
Top Bottom