Nimehudhuria kampeni zote za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki mpaka siku ya kupiga kura na kutangazwa matokeo. Hongera kwa makamanda wa CDM hasa John Mrema na Vincent Nyerere kwa kutuongoza vyema kushinda ARM.
Pamoja na pongezi lakini nimesikitihswa na mkanda mmoja wa video unaoonyesha jinsi viongozi wa CDM walivykuwa nao kumbe wakiporomosha matusi ya ajabu kwa viongozi wa CCM.
Mfano kwenye video hizo kuna mahali wanasema......CCM INATUMIA NYARA ZA SERIKALI KUFANYIA KAMPENI, KWANI ETI WASIRA ANAFANANA NA NYANI AU SOKWE HIVYO NI NYARA YA SERIKALI. Wanaendelea kusema ETI RAIS AMBAYE WALIKWENDA IKULU KUMTAMBUA BAADA YA KUMKATAA KWA MUDA MREFU.. ANAPAKA PODA TU NA HIYO NDO KAZI YAKE....
SASA KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MATUSI HAYA NA YALE YA LUSINDE NA WENZAKE? LAZIMA CDM NA VIONGOZI WAKE TUJITOFAUTISHE ILI TUAMINIKE BANAAA!!!
Pamoja na pongezi lakini nimesikitihswa na mkanda mmoja wa video unaoonyesha jinsi viongozi wa CDM walivykuwa nao kumbe wakiporomosha matusi ya ajabu kwa viongozi wa CCM.
Mfano kwenye video hizo kuna mahali wanasema......CCM INATUMIA NYARA ZA SERIKALI KUFANYIA KAMPENI, KWANI ETI WASIRA ANAFANANA NA NYANI AU SOKWE HIVYO NI NYARA YA SERIKALI. Wanaendelea kusema ETI RAIS AMBAYE WALIKWENDA IKULU KUMTAMBUA BAADA YA KUMKATAA KWA MUDA MREFU.. ANAPAKA PODA TU NA HIYO NDO KAZI YAKE....
SASA KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MATUSI HAYA NA YALE YA LUSINDE NA WENZAKE? LAZIMA CDM NA VIONGOZI WAKE TUJITOFAUTISHE ILI TUAMINIKE BANAAA!!!