CHADEMA matusi haya hamkuyaona??!!!

Chiume

Member
Apr 8, 2012
48
18
Nimehudhuria kampeni zote za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki mpaka siku ya kupiga kura na kutangazwa matokeo. Hongera kwa makamanda wa CDM hasa John Mrema na Vincent Nyerere kwa kutuongoza vyema kushinda ARM.

Pamoja na pongezi lakini nimesikitihswa na mkanda mmoja wa video unaoonyesha jinsi viongozi wa CDM walivykuwa nao kumbe wakiporomosha matusi ya ajabu kwa viongozi wa CCM.

Mfano kwenye video hizo kuna mahali wanasema......CCM INATUMIA NYARA ZA SERIKALI KUFANYIA KAMPENI, KWANI ETI WASIRA ANAFANANA NA NYANI AU SOKWE HIVYO NI NYARA YA SERIKALI. Wanaendelea kusema ETI RAIS AMBAYE WALIKWENDA IKULU KUMTAMBUA BAADA YA KUMKATAA KWA MUDA MREFU.. ANAPAKA PODA TU NA HIYO NDO KAZI YAKE....

SASA KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MATUSI HAYA NA YALE YA LUSINDE NA WENZAKE? LAZIMA CDM NA VIONGOZI WAKE TUJITOFAUTISHE ILI TUAMINIKE BANAAA!!!
 
Mkuu wangu mapenzi ni upofu ngoja wana Chadema waje wakushambulie watasema sio matusi.
 
Anaongea kama zuzuu tuu, anataka tumwamini kwa maneno yake ya kuokota!
 
Chiume kwanini uandikie mate weka video tuone mbona ya lusinde iliwekwa na matusi kweli tumeyasikia??
 
nimehudhuria kampeni zote za uchaguzi mdogo wa arumeru mashariki mpaka siku ya kupiga kura na kutangazwa matokeo. Hongera kwa makamanda wa cdm hasa john mrema na vincent nyerere kwa kutuongoza vyema kushinda arm.
Pamoja na pongezi lakini nimesikitihswa na mkanda mmoja wa video unaoonyesha jinsi viongozi wa cdm walivykuwa nao kumbe wakiporomosha matusi ya ajabu kwa viongozi wa ccm.
Mfano kwenye video hizo kuna mahali wanasema......ccm inatumia nyara za serikali kufanyia kampeni, kwani eti wasira anafanana na nyani au sokwe hivyo ni nyara ya serikali. Wanaendelea kusema eti rais ambaye walikwenda ikulu kumtambua baada ya kumkataa kwa muda mrefu.. Anapaka poda tu na hiyo ndo kazi yake....

Sasa kuna tofauti gani kati ya matusi haya na yale ya lusinde na wenzake? Lazima cdm na viongozi wake tujitofautishe ili tuaminike banaaa!!!

lusinde alikuwa akijibu mapigo-mukama
 
Nimehudhuria kampeni zote za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki mpaka siku ya kupiga kura na kutangazwa matokeo. Hongera kwa makamanda wa CDM hasa John Mrema na Vincent Nyerere kwa kutuongoza vyema kushinda ARM.
Pamoja na pongezi lakini nimesikitihswa na mkanda mmoja wa video unaoonyesha jinsi viongozi wa CDM walivykuwa nao kumbe wakiporomosha matusi ya ajabu kwa viongozi wa CCM.
Mfano kwenye video hizo kuna mahali wanasema......CCM INATUMIA NYARA ZA SERIKALI KUFANYIA KAMPENI, KWANI ETI WASIRA ANAFANANA NA NYANI AU SOKWE HIVYO NI NYARA YA SERIKALI. wanaendelea kusema ETI RAIS AMBAYE WALIKWENDA IKULU KUMTAMBUA BAADA YA KUMKATAA KWA MUDA MREFU.. ANAPAKA PODA TU NA HIYO NDO KAZI YAKE....

SASA KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MATUSI HAYA NA YALE YA LUSINDE NA WENZAKE? LAZIMA CDM NA VIONGOZI WAKE TUJITOFAUTISHE ILI TUAMINIKE BANAAA!!!
Sema tu kwamba Halima Mdee ndiye aliye sema haya. Anyway, naamini kwamba aliteleza tu, si sawa na Lusinde aliyepanda jukwaani akiwa amedhamiria kabisa kwenda kuitukana CHADEMA.
Nafikrii ni katika video hii. Ila ni ndefu na ukitaka kuisikia habari ya wasira unatakiwa usikilize hadi karibu katikati if not mwishoni.
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa sijui kama anaelewa haya mambo anayoandika humu
aweke ushahidi wa kutosha ili mambo yaeleweke kwamba anataka kutuambia nini?
 
Nimehudhuria kampeni zote za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki mpaka siku ya kupiga kura na kutangazwa matokeo. Hongera kwa makamanda wa CDM hasa John Mrema na Vincent Nyerere kwa kutuongoza vyema kushinda ARM.
Pamoja na pongezi lakini nimesikitihswa na mkanda mmoja wa video unaoonyesha jinsi viongozi wa CDM walivykuwa nao kumbe wakiporomosha matusi ya ajabu kwa viongozi wa CCM.
Mfano kwenye video hizo kuna mahali wanasema......CCM INATUMIA NYARA ZA SERIKALI KUFANYIA KAMPENI, KWANI ETI WASIRA ANAFANANA NA NYANI AU SOKWE HIVYO NI NYARA YA SERIKALI. wanaendelea kusema ETI RAIS AMBAYE WALIKWENDA IKULU KUMTAMBUA BAADA YA KUMKATAA KWA MUDA MREFU.. ANAPAKA PODA TU NA HIYO NDO KAZI YAKE....

SASA KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MATUSI HAYA NA YALE YA LUSINDE NA WENZAKE? LAZIMA CDM NA VIONGOZI WAKE TUJITOFAUTISHE ILI TUAMINIKE BANAAA!!!

Hili la kutumia nyara za serikali kama lilikuwa ndyi jibu dhidi ya ujinga wa Wassira ilikuwa SSSSSSSSSSASFI SSSSSSSSANA!!! .......

Hata kama umetunga umetupa kitu kizuri bwana asante isalimie nyara ya serikali Wassira.
 
Sema tu kwamba Halima Mdee ndiye aliye sema haya. Anyway, naamini kwamba aliteleza tu, si sawa na Lusinde aliyepanda jukwaani akiwa amedhamiria kabisa kwenda kuitukana CHADEMA.

Sijui kama wenzako huko juu wamesoma haya majibu ya kiungwana!!!!!!!!!!! video coming soon.....
 
Sema tu kwamba Halima Mdee ndiye aliye sema haya. Anyway, naamini kwamba aliteleza tu, si sawa na Lusinde aliyepanda jukwaani akiwa amedhamiria kabisa kwenda kuitukana CHADEMA.
Nafikrii ni katika video hii. Ila ni ndefu na ukitaka kuisikia habari ya wasira unatakiwa usikilize hadi karibu katikati if not mwishoni.


Mdee hajaanza jana kutukana jukwaani...alianza kwa kumwita Mbatia shoga.. kwakuwa alikuwa magwanda hakuna kelele zilipigwa....
 
Last edited by a moderator:
Nimehudhuria kampeni zote za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki mpaka siku ya kupiga kura na kutangazwa matokeo. Hongera kwa makamanda wa CDM hasa John Mrema na Vincent Nyerere kwa kutuongoza vyema kushinda ARM.

Pamoja na pongezi lakini nimesikitihswa na mkanda mmoja wa video unaoonyesha jinsi viongozi wa CDM walivykuwa nao kumbe wakiporomosha matusi ya ajabu kwa viongozi wa CCM.

Mfano kwenye video hizo kuna mahali wanasema......CCM INATUMIA NYARA ZA SERIKALI KUFANYIA KAMPENI, KWANI ETI WASIRA ANAFANANA NA NYANI AU SOKWE HIVYO NI NYARA YA SERIKALI. Wanaendelea kusema ETI RAIS AMBAYE WALIKWENDA IKULU KUMTAMBUA BAADA YA KUMKATAA KWA MUDA MREFU.. ANAPAKA PODA TU NA HIYO NDO KAZI YAKE....

SASA KUNA TOFAUTI GANI KATI YA MATUSI HAYA NA YALE YA LUSINDE NA WENZAKE? LAZIMA CDM NA VIONGOZI WAKE TUJITOFAUTISHE ILI TUAMINIKE BANAAA!!!

Wapenzi wengi wa CHADEMA humu JF ni icon ya CHADEMA nchini wala mimi sishangai.
 
Back
Top Bottom