Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,455
- 2,281
Ni wazi Viongozi wa Chadema wanaenda KUKIPASUA CHAMA Chao Mapande Mapande kutokana na kujaa Uroho na Tamaa ya Kutaka Urais.Mbowe anautaka Urais na Lissu anautaka Urais.
Kutokana na Kushindwa kupatikana KATIBA MPYA na TUME HURU na HAKI ya Uchaguzi ni wazi Uchaguzi wa 2025 unaenda kufanyika kwa KATIBA na TUME ile ile ya Miaka yote inayowanyima Ushindi hata pale mnaposhinda.
Nawashangaa Viongozi wa CHADEMA badala ya kupigania Kupata WABUNGE na MADIWANI wanapigania nani awe Mgombea Urais Urais ambao CCM hata iweje HAITAUACHIA KAMWE.CCM imegoma Kubadilisha KATIBA na TUME ya UCHAGUZI sio kwa Bahati Mbaya bali kwa MAKUSUDI ili ISHINDE UCHAGUZI 2025.
VIONGOZI wa CHADEMA mnaenda KUKIPASUA Chama chenu kwa Uroho na Tamaa ya URAIS URAIS ambao HAMTAUPATA KAMWE.
Kutokana na Kushindwa kupatikana KATIBA MPYA na TUME HURU na HAKI ya Uchaguzi ni wazi Uchaguzi wa 2025 unaenda kufanyika kwa KATIBA na TUME ile ile ya Miaka yote inayowanyima Ushindi hata pale mnaposhinda.
Nawashangaa Viongozi wa CHADEMA badala ya kupigania Kupata WABUNGE na MADIWANI wanapigania nani awe Mgombea Urais Urais ambao CCM hata iweje HAITAUACHIA KAMWE.CCM imegoma Kubadilisha KATIBA na TUME ya UCHAGUZI sio kwa Bahati Mbaya bali kwa MAKUSUDI ili ISHINDE UCHAGUZI 2025.
VIONGOZI wa CHADEMA mnaenda KUKIPASUA Chama chenu kwa Uroho na Tamaa ya URAIS URAIS ambao HAMTAUPATA KAMWE.