Rorya bhana.. yaani std 7 kawazidi ujanja kabisaaa! si mlitaka mbunge atakayejenga mashule, mahospitali na kuleta huduma za jamii kwa pesa zake! mmkachagua tajiri mwenye hela zake. sasa mnalialia nn? kwa mazingira ya huko rorya hata ikija m4c ni bure tu. niamini mimi! lakairo mnamuogopa kama nn sijui. yaan nna hakika hamna kidume jimbo zima la rorya wa kusimama hadharani na kumsema vibaya lameck! mnaishia kumtupia madongo tu hapa jf tena kwa id fake bt hamna kidume wa kuweza kumsema live 'kidume lameck'!
nyie tulieni tu awe mbunge wenu mpaka atakapopenda kuachia jimbo basi ndo mfurukute, bt bila mapenzi yake hilo jimbo kumnyang'anya hamuwezi kwa sasa! hizo ndo gharama za kuchagua kiongozi kwa jeuri ya pesa zake!
eti rorya ukitaka ubunge unaulizwa 'unanini wewe'!? hata kama una phd hawaitaki wao wanataka kuona material things ndo uwe kiongozi wao. tulieni tu huyo ndo mume mliyemchagua, kelele za nini?