Ofisi ya Chadema iliyochukuliwa na CCM hii hapa
Makada na viongozi wa Chadema kata ya Ruaha wakitazama bango la safu ya uongozi wa Chadema
katibu wa CCM kata ya Ruaha Rashid Shungu ( wa pili kushoto ) na kada wa Chadema aliyehamia CCM Ibrahim Mmasi pamoja na wanachama wengine wa CCM wakiwa wameshika bendera ya CCM ambayo itapepea katika ofisi mpya ya kata ya Ruaha ,ofisi ambayo awali ilikuwa ikimilikiwa na Chadema kabla ya kufukuzwa kwa kushindwa kulipa deni la kodi kiasi cha Tsh 540,000 , kushoto fundi rangi akiendelea kupaka rangi ya CCM.(Martha Magessa)