CHADEMA Kwisha Habari yao Ruaha Iringa

CHADEMA Kwisha Habari yao Ruaha Iringa

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
IMG_9926.JPG

Ofisi ya Chadema iliyochukuliwa na CCM hii hapa​
IMG_9940.JPG

IMG_9988.JPG



Makada na viongozi wa Chadema kata ya Ruaha wakitazama bango la safu ya uongozi wa Chadema

katibu wa CCM kata ya Ruaha Rashid Shungu ( wa pili kushoto ) na kada wa Chadema aliyehamia CCM Ibrahim Mmasi pamoja na wanachama wengine wa CCM wakiwa wameshika bendera ya CCM ambayo itapepea katika ofisi mpya ya kata ya Ruaha ,ofisi ambayo awali ilikuwa ikimilikiwa na Chadema kabla ya kufukuzwa kwa kushindwa kulipa deni la kodi kiasi cha Tsh 540,000 , kushoto fundi rangi akiendelea kupaka rangi ya CCM.(Martha Magessa)
IMG_9966.jpg
 
Mnanunuliwa kirahisi sana. Hela ndogo inakuhadaa unapoteza uzalendo. Cheap politics za waoga kama mbwa koko.
 
CDM ilishauzwa kitamboooo na jamaaa wa ndoroooooobo mangi.
 
Bila upinzani hii nchi hata huu umeme wa mgao hamtaupata wameplay role kubwa kuongeza efficiency ya serikali ya ccm kama wewe unataka na unatamani vife you will see!
 
Bila upinzani hii nchi hata huu umeme wa mgao hamtaupata wameplay role kubwa kuongeza efficiency ya serikali ya ccm kama wewe unataka na unatamani vife you will see!
Chadema mmekopa Rais tena ni dizeli chafu na fisadi na mmekopa Makamu wa Ris kutoka CUF.
 
Bila upinzani hii nchi hata huu umeme wa mgao hamtaupata wameplay role kubwa kuongeza efficiency ya serikali ya ccm kama wewe unataka na unatamani vife you will see!

True...ndiyo kazi ya vyama vya upinzani mkuu. Lasivyo ni inneficiency kwa kwenda nyuma.
 
OFISI YA CHADEMA KATA YA RUAHA IRINGA MJINI YACHUKULIWA NA CCM BAADA YA KUSHINWA KULIPA KODI



IMG_9926.JPG

Ofisi ya Chadema iliyochukuliwa na CCM hii hapa​
IMG_9940.JPG

IMG_9988.JPG



Makada na viongozi wa Chadema kata ya Ruaha wakitazama bango la safu ya uongozi wa Chadema

katibu wa CCM kata ya Ruaha Rashid Shungu ( wa pili kushoto ) na kada wa Chadema aliyehamia CCM Ibrahim Mmasi pamoja na wanachama wengine wa CCM wakiwa wameshika bendera ya CCM ambayo itapepea katika ofisi mpya ya kata ya Ruaha ,ofisi ambayo awali ilikuwa ikimilikiwa na Chadema kabla ya kufukuzwa kwa kushindwa kulipa deni la kodi kiasi cha Tsh 540,000 , kushoto fundi rangi akiendelea kupaka rangi ya CCM.(Martha Magessa)
IMG_9966.jpg

A cha upotoshaji wewe! Hilo tukio limetokea tangu mwaka Jana. Tangia Dk Slaa ni K/Mkuu wa CHADEMA. Sijui hii cybercrime ni kwa ajili ya nini?!
 
Cybercrime inakunyemelea. Kama wewe unajiona mjanja wa kucheza na akili za watu.

Thinkers go with impeccable facts, not like you blind followers of a losing battle.
 
Back
Top Bottom