Wakuu chadema kama chama naomba muwe makini sana na hili swala la kujilink na imani.
Siasa ni delicate game na unahusu manipulation ya data. Kuweni makini sana kwani huenda zikatumika kuwapiga za uso... Tanzania idadi ya wananchi wanakaribiana kwenye dini zetu kuu mbili xstians na muslims. Mkijikita sana kwenye dini moja kwakutaka au kutotaka mjue mnaweza mkawakosa watu wengine wakati maalum ambao mtawahitaji
huu ni mfano tu
but mpaka nawaandikia hili ni kwakua kila likitokea sometimes nikiwa kwenye mikutano hiyo huwa najiuliza are we fighting for the same cause? . Chama kitumie diplomasia yake kudeal na hili bila kupoteza kundi husika
Msiseme sijawatahadhalisha
Siasa ni delicate game na unahusu manipulation ya data. Kuweni makini sana kwani huenda zikatumika kuwapiga za uso... Tanzania idadi ya wananchi wanakaribiana kwenye dini zetu kuu mbili xstians na muslims. Mkijikita sana kwenye dini moja kwakutaka au kutotaka mjue mnaweza mkawakosa watu wengine wakati maalum ambao mtawahitaji
huu ni mfano tu
but mpaka nawaandikia hili ni kwakua kila likitokea sometimes nikiwa kwenye mikutano hiyo huwa najiuliza are we fighting for the same cause? . Chama kitumie diplomasia yake kudeal na hili bila kupoteza kundi husika
Msiseme sijawatahadhalisha