Saigon,
Mie ni mkweli haswaa na ubabaishaji nauchukia na kuuogopa kama ukoma.
Siasa ni mchezo mchafu ambao uongo ni SEHEMU ya mchezo huo.
Hayo mie siyawezi maana hakuna chama kitanipenda kwa hilo........
Labda kuna siku NITAKUWA na kufikia UMRI wa kuwa Mwanasiasa ila siyo leo.
Wanasema Wanasiasa ni kama Malaya. Unachagua yule hawajakanyaga saana. (Akina dada msiniuwe, sikutaka kutukana Jinsia).