assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Chama cha demokrasia na maendeleo ni chama makini kwa sasa na niwazi kuwa kitapata wabunge wengi uchaguzi ujayo na indiketa ni uchaguzi wa madiwani ambapo wamepata viti vichache vya ccm na ccm kupata majority, kama ukomakini ccm watapoteza zaidi viti vya ubunge especiaaly vya mijini lakini vijijini watu wengi wanaikubali ccm na hivyo ni ndoto kuzani cdm pekeyake wataweza kupata majority ya kuongoza nchi my take waunde coalition kwa kuanza na kuigawa kambi rasmi ya upinzani kwa vyama vingine vya upinzani na kuacha ubinafsi