WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Leo kutakuwa na mkutano wa chama cha CHADEMA hapa mkoani Iringa katika eneo la NYOLOLO na ILEMBULA, viongozi wa CHADEMA Iringa na Njombe watakuwepo kwenye mkutano huo ambao utaanza saa saba kamili (01:00 PM).
Nawaomba watakaokuwepo katika eneo la mkutano watusaidie kupata kila litakalokuwa linajiri huko ili Wana JF wapate news...
SOURCE:EBONY FM asubuhi hii.
Nawaomba watakaokuwepo katika eneo la mkutano watusaidie kupata kila litakalokuwa linajiri huko ili Wana JF wapate news...
SOURCE:EBONY FM asubuhi hii.