CHADEMA kutumia busara kutatua mgogoro ACT.

CHADEMA kutumia busara kutatua mgogoro ACT.

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,198
Reaction score
7,537
Ni wazi kwamba kuna mgogoro mkubwa sasa wa kiuongozi ndani ya ACT kati ya kambi inayotaka uchaguzi na ile isiyotaka uchaguzi ndani ya chama hicho.

Hata hivyo kuna kila dalili kwamba CHADEMAkama chama kikubwa zaidi cha upinzani kwa sasa, kitasaidia kutatua mgogoro huo ili kuunusuru upinzani.Hata hivyo CHADEMA ishaanza kuonesha nia ya kutatua mgogoro huo kwa kutumia busara tu.Kwa inavyoonekana msukumo wa CHADEMA kutatua mgogoro huo, unatokana na msingi wa nia njema "Good will". Na wala si vinginevyo.It is a matter oftime mgogoro huo utamalizwa.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba CHADEMA ni watenda haki and the only trusted political institution in Tanzania. Nasikitika kusema kwamba wewe huaminiki na hata kutamani CHADEMA iingilie mgogoro wenu naona mashaka makubwa. Maswali ninayopata ni;
1. Kwa nini CCM isiingilie kati kusuluhisha mgogoro wenu kwa kuwa ACT ni tawi dogo la CCM au ni kwa kuwa malengo ya CCm kupitia ACT yanaonesha kushindwa na kufa prematurely?.
2. Kwanini CHADEMA iwasaidie au isuluhishe wakati vipo vyama vingine vya upinzani Tanzania ambavyo ACT haina long-lasting complains aginst them?.
3. ACT haioni kuwa CHADEMA ikihusika kuwatafutia mwafaka ndani ya genge lao, itasababisha uswahiba wa ACT na CCM kuingia matope, kitu kinachoweza kusababisha ACT kukosa ufadhili kutoka kwa CCM?.
4. Kuna uwezekano kwamba ni kweli kuwa waliokuwa wakipata ufadhili kutoka CCM siyo ACT original bali ni wahamiaji waliokuwa na malengo binafsi na ACT?.

Kwa hakika maswali ni mengi sana,
YOUR MESSAGE ARE NEVER BELIEVED BY GREAT THINKERS
 
Ni wazi kwamba kuna mgogoro mkubwa sasa wa kiuongozi ndani ya ACT kati ya kambi inayotaka uchaguzi na ile isiyotaka uchaguzi ndani ya chama hicho.

Hata hivyo kuna kila dalili kwamba CHADEMAkama chama kikubwa zaidi cha upinzani kwa sasa, kitasaidia kutatua mgogoro huo ili kuunusuru upinzani.Hata hivyo CHADEMA ishaanza kuonesha nia ya kutatua mgogoro huo kwa kutumia busara tu.Kwa inavyoonekana msukumo wa CHADEMA kutatua mgogoro huo, unatokana na msingi wa nia njema "Good will". Na wala si vinginevyo.It is a matter oftime mgogoro huo utamalizwa.

Hahahahahahaha
 
Ni wazi kwamba kuna mgogoro mkubwa sasa wa kiuongozi ndani ya ACT kati ya kambi inayotaka uchaguzi na ile isiyotaka uchaguzi ndani ya chama hicho.

Hata hivyo kuna kila dalili kwamba CHADEMAkama chama kikubwa zaidi cha upinzani kwa sasa, kitasaidia kutatua mgogoro huo ili kuunusuru upinzani.Hata hivyo CHADEMA ishaanza kuonesha nia ya kutatua mgogoro huo kwa kutumia busara tu.Kwa inavyoonekana msukumo wa CHADEMA kutatua mgogoro huo, unatokana na msingi wa nia njema "Good will". Na wala si vinginevyo.It is a matter oftime mgogoro huo utamalizwa.

Mkuu mbona unapotosha sana?
Mgogoro uliopo ACT hauhusu uchaguzi wa chama, mgogoro uliopo ni baada ya mwigamba kufukuzwa uanachama kwa makosa 15 lakini amegoma na kuweka pingamizi kwa msajili na kumuomba msajili atukutanishe atupatanishe, jambo ambalo linaendelea huko ofsini kwa msajili,

Kuhusu uchaguzi wa chama ni lazima utafanyika kbal ya tarehe 5/5/2015.

Mwigamba na genge lake wanahamisha hoja ya kufukuzwa kwake na kutaka kudanganya umma kuwa mgogoro ni uchaguzi la hasha,
Mgogoro ni uhaini na ukaidi wa mwigamba dhidi ya taratibu za taasisi.

NAONGEA KAMA MSEMAJI WA CHAMA.

N;B Pia kuhusu chadema kuhusika kutatua mgogoro wetu wa ACT-Tanzania sio kweli, hatujawahi kukaa na chama chochote kuonglea suala letu la chama na wala hatuna uhusiano wowote wa kichana na chama chochote ndani wala nje ya nchi, labda kama kuna mwanachama mwenye mahusiano na viongozi wa vyama lakani sio baina ya taasisi na taasisi.
 
Brother umeanza lini kunywa viroba mchana? kuna mtu anatumia ID yako?

Ni wazi kwamba kuna mgogoro mkubwa sasa wa kiuongozi ndani ya ACT kati ya kambi inayotaka uchaguzi na ile isiyotaka uchaguzi ndani ya chama hicho.

Hata hivyo kuna kila dalili kwamba CHADEMAkama chama kikubwa zaidi cha upinzani kwa sasa, kitasaidia kutatua mgogoro huo ili kuunusuru upinzani.Hata hivyo CHADEMA ishaanza kuonesha nia ya kutatua mgogoro huo kwa kutumia busara tu.Kwa inavyoonekana msukumo wa CHADEMA kutatua mgogoro huo, unatokana na msingi wa nia njema "Good will". Na wala si vinginevyo.It is a matter oftime mgogoro huo utamalizwa.
 
Mkuu mbona unapotosha sana?
Mgogoro uliopo ACT hauhusu uchaguzi wa chama, mgogoro uliopo ni baada ya mwigamba kufukuzwa uanachama kwa makosa 15 lakini amegoma na kuweka pingamizi kwa msajili na kumuomba msajili atukutanishe atupatanishe, jambo ambalo linaendelea huko ofsini kwa msajili,

Kuhusu uchaguzi wa chama ni lazima utafanyika kbal ya tarehe 5/5/2015.

Mwigamba na genge lake wanahamisha hoja ya kufukuzwa kwake na kutaka kudanganya umma kuwa mgogoro ni uchaguzi la hasha,
Mgogoro ni uhaini na ukaidi wa mwigamba dhidi ya taratibu za taasisi.

NAONGEA KAMA MSEMAJI WA CHAMA.

N;B Pia kuhusu chadema kuhusika kutatua mgogoro wetu wa ACT-Tanzania sio kweli, hatujawahi kukaa na chama chochote kuonglea suala letu la chama na wala hatuna uhusiano wowote wa kichana na chama chochote ndani wala nje ya nchi, labda kama kuna mwanachama mwenye mahusiano na viongozi wa vyama lakani sio baina ya taasisi na taasisi.

hebu tupe vielelezo ili kuipa nguvu hoja yako juu ya uhaini na ukaidi Wa mwigamba
 
Nilitaka kuwaamini Mwigamba na Prof Mkumbo lakini kwa migogoro walioleta wakiwa CHADEMA na sasa ACT dawa ni kuwapuuza!!Kuwapa attention ni kuwasaidia kazi waliopewa na mabwana zao...
 
hebu tupe vielelezo ili kuipa nguvu hoja yako juu ya uhaini na ukaidi Wa mwigamba

Wewe ACT TENA kwanini unatilia mashaka maelezo ya msemaji wa chama chako? Hujui kuwa ni kweli Mwigamba kuna makosa amabayo alifanya ikiwa ni pamoja na kubadili nembo ya chama kinyemela bila notification yeyote kwa viongozi wa chama? Hujui kwamba Mwigamba amekuwa akizunguka na kujinadi kuwa ndiyo muhasisi wa chama na wakati ni uongo na wakati yeye mwenyewe ndio alikaribishwa na kuwakuta waanzilishi wakina Limbu, Nyakurungu, sasa iweje yey binafsi apotoshe umma?
 
Last edited by a moderator:
Nilitaka kuwaamini Mwigamba na Prof Mkumbo lakini kwa migogoro walioleta wakiwa CHADEMA na sasa ACT dawa ni kuwapuuza!!Kuwapa attention ni kuwasaidia kazi waliopewa na mabwana zao...

Mkuu Mwigamba na Dr.Kitila ni wanasiasa wa hovyo kabisa kuwahi kutokea nchini, walijaribu kukivuruga CHADEMA sasa waliposhindwa wakahamishia mapepo yao kule ACT, kazi yao ni kuvuruga upinzani kwa ujumla jambo ambalo halikubaliki kabisa ni heri warudi CCM kwa wachuamia tumbo wenzao.
 
Mkuu mbona unapotosha sana?
Mgogoro uliopo ACT hauhusu uchaguzi wa chama, mgogoro uliopo ni baada ya mwigamba kufukuzwa uanachama kwa makosa 15 lakini amegoma na kuweka pingamizi kwa msajili na kumuomba msajili atukutanishe atupatanishe, jambo ambalo linaendelea huko ofsini kwa msajili,

Kuhusu uchaguzi wa chama ni lazima utafanyika kbal ya tarehe 5/5/2015.

Mwigamba na genge lake wanahamisha hoja ya kufukuzwa kwake na kutaka kudanganya umma kuwa mgogoro ni uchaguzi la hasha,
Mgogoro ni uhaini na ukaidi wa mwigamba dhidi ya taratibu za taasisi.

NAONGEA KAMA MSEMAJI WA CHAMA.

N;B Pia kuhusu chadema kuhusika kutatua mgogoro wetu wa ACT-Tanzania sio kweli, hatujawahi kukaa na chama chochote kuonglea suala letu la chama na wala hatuna uhusiano wowote wa kichana na chama chochote ndani wala nje ya nchi, labda kama kuna mwanachama mwenye mahusiano na viongozi wa vyama lakani sio baina ya taasisi na taasisi.

Majibu mazuri pls Invisible yaweke juu ya hoja kuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom