Pilimi
Member
- Mar 23, 2009
- 67
- 14
Naona wakati chadema wakiambiwa wasubiri M4C mpaka sensa iishe,lakini leo nimemsikia mkuu wa mkoa Tabora akihojiwa Clouds fm,akiagiza mkuu wa wilaya ahakikishe fiesta wanapewa ulinzi wa kutosha kesho,kwani sensa si bado inaendelea?.Je Chadema hawasitaili kupewa ulinzi wa kutosha kule nyololo?