mtendaji wa kijiji
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 533
- 115
Kwa mara nyingine tena kutakua na mikutano ya hadhara ya kukijenga chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilaya ya same. ambapo ratiba nikama ifuatavyo tar 9/6/2013 utafanyika mkutano kata ya Hedaru, tarehe 10/6/2013 Saweni Gavao , Tarehe 11/6/2013 Ruvu.
kijana Godson Mbaga atafanya ziara hiyo lengo likiwa ni kukijenga chama kwa kufungua misingi katika kata tajwa. ikumbukwe Kijana Godson Mbaga ni miongoni mwa vijana walio tangaza nia za kugombea ubunge 2015 endapo atapewa ridhaa na chama
tunaomba ushirikiano wenu makamanda. kwa mawasiliano usisite kupiga +255752225501
kijana Godson Mbaga atafanya ziara hiyo lengo likiwa ni kukijenga chama kwa kufungua misingi katika kata tajwa. ikumbukwe Kijana Godson Mbaga ni miongoni mwa vijana walio tangaza nia za kugombea ubunge 2015 endapo atapewa ridhaa na chama
tunaomba ushirikiano wenu makamanda. kwa mawasiliano usisite kupiga +255752225501