Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA kinatarajiwa kuongeza nguvu yake kisiasa kwa kuongoza Halmashauri mpya ya wilaya ya Uvinza inayotarajiwa kuanza kisheria 20 Julai,2013.Halmashauri hii iko katika mkoa wa Kigoma.
Halmashauri hiyo ya Uvinza ina Jumla ya Madiwani 13 kutoka upinzani na CCM ina madiwani 8 tu.Kati ya hao madiwani wa upinzani CHADEMA inao jumla 7 NCCR 5 na mbunge mmoja kutoka NCCR.
Kutokana na hali hiyo Chadema inatarajiwa kuungana na NCCR ili kumpata Mkiti na Makamu Mkiti kutoka katika vyama hivyo.Endapo kila kitu kitaenda sawa Mkiti atapendekezwa kutoka Chadema na Makamu Mkiti atatoka NCCR.Halafu vyama hivyo vitagawana nafasi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali.
Hata hivyo kuna hofu kubwa kwamba CCM kinataka kumtumia Mkiti wa NCCR James Mbatia kutaka CCM waungane na NCCR na kuisaliti Chadema.
Halmashauri hiyo ya Uvinza ina Jumla ya Madiwani 13 kutoka upinzani na CCM ina madiwani 8 tu.Kati ya hao madiwani wa upinzani CHADEMA inao jumla 7 NCCR 5 na mbunge mmoja kutoka NCCR.
Kutokana na hali hiyo Chadema inatarajiwa kuungana na NCCR ili kumpata Mkiti na Makamu Mkiti kutoka katika vyama hivyo.Endapo kila kitu kitaenda sawa Mkiti atapendekezwa kutoka Chadema na Makamu Mkiti atatoka NCCR.Halafu vyama hivyo vitagawana nafasi ya wenyeviti wa kamati mbalimbali.
Hata hivyo kuna hofu kubwa kwamba CCM kinataka kumtumia Mkiti wa NCCR James Mbatia kutaka CCM waungane na NCCR na kuisaliti Chadema.