PreGE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Mikocheni

PreGE2025 CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Mikocheni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,297
Reaction score
271,534
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho Maarufu zaidi Barani Africa kwa sasa hii hapa.

Screenshot_2025-04-29-14-15-40-1.png


Nitakuwepo kwenye Mkutano huo ili kuwaletea kila kitakachosemwa na Viongozi.

Usibanduke JF.
 
Si una achana nayo tu dada? Wanawake mnajitaabisha na mambo ambayo hata hayana msingi. Sisi wanaume tunataka tukasikie wanachotaka sema. Wewe baki home kuna nani andaa msosi.
Nawe unajiita mwanaume? Mwanaume gani kila siku ni kufuatilia umbea
 
Back
Top Bottom