Kwamambo yalio jitokeza jana kwa M4C, nadhani kuna haja sasa ya kununua itv au chanel 10,tuimiliki iwe ya CDM kabisaa au tufungue CHADEMA tv na tuwe na redio chadema, na pia kuna umuhimu wakua na mtandao wasm uitwe chadema. Na vocha za chadema kama manji ana mtandao wake wa CM itakuaje cdm bana?
Nawengi tutahama voda. M4C jana sijaiona nasikia story tu problem umeme na TV za kibaguz, mpesa zilijam kwamakusud ili tusichangie ninauchungu nawasilisha
Nawengi tutahama voda. M4C jana sijaiona nasikia story tu problem umeme na TV za kibaguz, mpesa zilijam kwamakusud ili tusichangie ninauchungu nawasilisha