Wananchi wengi wamekosa matumani na CCM na serikali yao..........wanahitaji mtu wa kuwapa matumaini mapya, japo haitaondoa shida walizo nazo lakini wahitaji mtu wa kuwapa matumaini katika hali ya kukata tamaa, wanahitaji mtu wa kuwasemea kuwa wamechoka na uongo wa watawala, wananchi wanahitaji mtu wa kuwaongoza namna watakavyoondokana na hali hii,
Wananchi wanaona yanayotokea, wanahitaji mtu wa ''kuwapasha'' watawala kwa niaba yao. Lakini inaonyesha CHADEMA wanashindwa kufanya kazi hiyo. Wamekuwa busy na mamabo ya madiwani wa Arusha as if hiyo ndio kazi yao. Kuongea sana bungeni sio tija wananchi wanataka zaidi ya hapo, wanataka CDM waongoze mapambano.
Matukio ya Jairo na UDA yalitakiwa yatolewa kauli kali na ufafanuzi wa kutosha kutoka CDM, lakini hakuna kitu wapo wapo tu. CDM wanahitaji kiongozi ambaye ni radical sana kulingana na hali ya nchi ilivyo sasa. Waache kufanya siasa za kigoigoi, waamke na kutekeleza kazi yao. Kila unapotokea utata au utendaji mbaya lazima CDM waseme ili wananchi wajue kuwa wao wako tofauti.
Nasema hivi kwa vile wananchi wengi husema hawa wapinzani na wao ni kama CCM wanataka kula tu. Kuepusha maneno hayo lazima CDM ifanye tofauti iwe na ukali zaidi sio kutoa kauli rahisi rahis tu.
Nadhani baadhi ya viongozi wa juu sio radical sana wanataka kutunza status quo..........................ni maoni tu
Wananchi wanaona yanayotokea, wanahitaji mtu wa ''kuwapasha'' watawala kwa niaba yao. Lakini inaonyesha CHADEMA wanashindwa kufanya kazi hiyo. Wamekuwa busy na mamabo ya madiwani wa Arusha as if hiyo ndio kazi yao. Kuongea sana bungeni sio tija wananchi wanataka zaidi ya hapo, wanataka CDM waongoze mapambano.
Matukio ya Jairo na UDA yalitakiwa yatolewa kauli kali na ufafanuzi wa kutosha kutoka CDM, lakini hakuna kitu wapo wapo tu. CDM wanahitaji kiongozi ambaye ni radical sana kulingana na hali ya nchi ilivyo sasa. Waache kufanya siasa za kigoigoi, waamke na kutekeleza kazi yao. Kila unapotokea utata au utendaji mbaya lazima CDM waseme ili wananchi wajue kuwa wao wako tofauti.
Nasema hivi kwa vile wananchi wengi husema hawa wapinzani na wao ni kama CCM wanataka kula tu. Kuepusha maneno hayo lazima CDM ifanye tofauti iwe na ukali zaidi sio kutoa kauli rahisi rahis tu.
Nadhani baadhi ya viongozi wa juu sio radical sana wanataka kutunza status quo..........................ni maoni tu