Chadema itashirikiana na mtu yeyote aliyetayari kuiangusha ccm hata kama ni shetani chadema tutampa sapoti ilimradi tuteketeze maccm.
Hayo ni maneno ya mtaani vijiweni kwa waliokosa kazi wala yasikupe shida, just relax!!
kuna watoto wamekipigania chama hapa Leo unambiwa kaa pembeni agombee mwingne kisa kuelekea u chaguzi mkuu ili tushinde sasa kumbe makelele tunayopga tunajidanganya tuuu hata makinda akija tutaimba pipoooooz wakati ccm wana tuua kina lowasa walikuwepo na wengne walitoa hela kutugawa wapinzani Leo ndio icon ya ushindi kwel pesa inanunua vhochote.
karibuni kina Chenge na mafisad wengne Wa Ccm huku chadema
Usidanganye watu wewe hata NYERERE hakuwahi kupigana vita ya kudai uhuru lakini alikaribishwa na wazee waliopambana na wakoloni na akapewa heshima kubwa ya kuwa rais wa kwanza.
Mandela aliwasamehe makaburu pamoja na udhalimu wao.
Kupigwa mabomu hakujaanza leo tangu enzi za mwalimu mtu akikaidi anapigwa tu.
UKAWA muwe makini na makundi ya watu wanaowapotosha ili mukose mamilioni ya kura za wafuasi wa Lowasa .
Lowasa ni tishio kwa uhai wa CCM . Anakubalika kila upande wa Tanzania.
Hakuna Uadui kwenye siasa. Lowasa atawaunganisha watanzania wa vyama na makundi yote ,atakua ni rais wa watu sio KITENGO .
Tukiendekeza chuki za kisiasa tutabomoa nchi.
CUF ndio wapinzani waliouawa zaidi lakini walisamehe na kukaa pamoja na wauaji wao.
Huu ni mfano bora wa kuigwa katika kujenga umoja wa watanzania. Tunataka siasa za shamrashamra na upendo na hamasa na mbwembwe nyingi kama anavyofanya Lowasa sio chuki na matusi. Tunataka kufurahia demokrasia sio kugawanywa kwa chuki.
Wapiga kura wataamua nani wa kumhukumu kwenye sanduku la kura.
UKAWA tumieni hii fursa ya makosa ya CCM kumtoa mchezaji mahiri na mfunga magoli Edo iwe ni zamu yenu kupumua sasa kwa kuunganisha nguvu na kuingia ikulu .Kama ni mabomu sasa iwe ni zamu ya CCM kupigwa watakapokuwa chama cha upinzani.
Hata baada ya vita ya Kagera sio kila askari aliyepigana alipandishwa cheo.Vigezo viliendelea kuwa ni vile vile vya mwenye sifa zaidi.
Ni rahisi JK kumkabidhi Lowasa nchi chini ya UKAWA kuliko mgombea mwingine toka chama cha upinzani kutokana na uzoefu wake ndani ya serikali na imani kubwa waliyonayo watanzania kwake.