CHADEMA kitabaki kuwa chama cha mitandaoni

CHADEMA kitabaki kuwa chama cha mitandaoni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Kiukweli ukiingalia Chadema ya Twitter na hata JF ni tofauti kabisa na hii Chadema tunayoishi nayo huku mtaani.

Jimboni Kawe kwa mfano haijulikani ofisi za Chadema ziko wapi na kama una jambo utalazimika kwenda mtaa wa Ufipa kupata ufafanuzi au la ulilete hapa JF ndio utajibiwa kwa haraka na akina Mmawia.

Ingependeza kama Chadema mkafungua katawi kadogo hapa JF ili taarifa mbalimbali tuzipatie hapa badala ya kuzifuata Ufipa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Huku mtaani kuna watu wakikuwa washabiki wa chadema ila sasa hivi ukiwatajia neno chadema wanaweza kutapika
 
Kiukweli ukiingalia Chadema ya Twitter na hata JF ni tofauti kabisa na hii Chadema tunayoishi nayo huku mtaani.

Jimboni Kawe kwa mfano haijulikani ofisi za Chadema ziko wapi na kama una jambo utalazimika kwenda mtaa wa Ufipa kupata ufafanuzi au la ulilete hapa Jf ndio utajibiwa kwa haraka na akina mmawia.

Ingependeza kama Chadema mkafungua katawi kadogo hapa Jf ili taarifa mbalimbali tuzipatie hapa badala ya kuzifuata Ufipa.

Maendeleo hayana vyama!
Vipi NCCR MAGEUZI, Mkuu......
 
Jamaa wa msoga alikiita cha msimu lkn akaja akajutia kauli yake, Huyo wa chato yeye kakipga bani kabisa lazima uone uonavyo sasa!
 
Kiukweli ukiingalia Chadema ya Twitter na hata JF ni tofauti kabisa na hii Chadema tunayoishi nayo huku mtaani.

Jimboni Kawe kwa mfano haijulikani ofisi za Chadema ziko wapi na kama una jambo utalazimika kwenda mtaa wa Ufipa kupata ufafanuzi au la ulilete hapa Jf ndio utajibiwa kwa haraka na akina mmawia.

Ingependeza kama Chadema mkafungua katawi kadogo hapa Jf ili taarifa mbalimbali tuzipatie hapa badala ya kuzifuata Ufipa.

Maendeleo hayana vyama!
Hah hah hahaa. Kama kingekuwa ni chama cha mtandaoni kweli mngekuwa mnaweweseka hivyo? Haipiti siku bila kuisema CHADEMA. Be serious bwashee!
 
Back
Top Bottom