CHADEMA: Kila kitu mkopo!

CHADEMA: Kila kitu mkopo!

Mtaweweseka sana maccm mwaka huu, Lowasa ndiye rais ajaye
 
Ndugu Wanabodi,

Nimefuatilia kwa muda mrefu siasa za CHADEMA pamoja an Washirika wao wa NCCR, CUF na NLD nimegundua kuwa kila kitu katika chama hichi kikubwa cha upinzani nchini ni MKOPO.

Ni mkopo kwa sababu zifuatazo:

1. Mgombea Urais wao Bw. Lowassa amekopwa kutoka CCM
2. Mgombea Mwenza wa Urais - Bw. Duni ( BABU) amekopwa kutoka CUF
3. Wafanya kampeni - Masha, Chizii, Mungai, Yule mzee toka Singida, Mgeja - wamekopwa toka CCM
4. Sera ha kuanzisha viwanda, elimu ya bure ya msingi (isipokuwa ya chuokikuu) imekopwa toka CCM
5. Sera ya Majimbo - imekopwa toka Marekani
6. Fedha za Kampeni 2015 - zimekopwa kutoka kwa EL na kwa baadhi ya Wafanyabiashara toka Kaskazini
7. Viongozi wengi wa CDM ASILI wamekopwa toka ukanda mmoja wa nchi

Maswali yangu ya msingi hapa ni:

1. Je, CHADEMA hawakujiandaa kugombea Urais mwaka huu au hiyo ndo staili ya maandalizi yao?
2. Kama EL hata shinda uchaguzi Kama amabavyo dalili zinavyoonesha, CDM watamrejeshea pesa zake?
3. Je, Kama EL hatoshinda uchaguzi atarejea CCM kama inavyosemekana?

Naomba tuchangie bila matusi. Najua vijana wa UKAWA wana mafunzo mazuri ya matusi.

Katika MAPUNGUANI WEWE NDO KIONGOZI WAO,UMESAHAU ATA YULE DR.SLAA MLIYE MKODISHA AMEWAAMBIA WAZI KUWA ILANI YA CHADEMA ILIANDALIWA MIEZI 10 KABLA SASA SIJUI INAKUAJE USEME ETI CHADEMA WAMEKOPA SERA KUTOKA KWENU MAFISIEMU?,UMESAHAU MGOMBEA WENU ALIVYOKOPI ILE YA MAZAO KWA WAKULIMA YEYE KAIBADILISHA KIDOGO NA KUSEMA KUWA "SERIKALI YAKE HAITOKOPA MAZAO YA WAKULIMA" WAKATI ILE ORIGINAL YENYEWE YA UKAWA INASEMA "WAKULIMA WAKIKOPWA MAZAO YAO NA SERIKALI,WARUDISHIWE NA RIBA"...TEH! TEH! TEH!..
 
Wewe hujakopesheka? Naona una mawazo mgando
 
Huna akili ya kutafakari mwenye kuandika hii post. Unafikiri ccm wanatoa pesa zao mfukoni kujenga majengo yao, kununua magari ya kifaharii au kulipa watu waje kwenye mikutano. Hizi ni pesa za wananchi. Chadema ndio wanakua kisiasa, lazima wakupe au watu wawachangie kukua
 
Huna akili ya kutafakari mwenye kuandika hii post. Unafikiri ccm wanatoa pesa zao mfukoni kujenga majengo yao, kununua magari ya kifaharii au kulipa watu waje kwenye mikutano. Hizi ni pesa za wananchi. Chadema ndio wanakua kisiasa, lazima wakupe au watu wawachangie kukua

Kwahiyo ndo mkope hadi Hadi magari chakavu Kama akina SUMAYE na Lowassa? Halafu mbona mkopo wenyewe basi utoke ukanda mmoja?
 
Mkopo wa jirani yako wewe unakuhusu nini? Ni vyema mkajikita kuposti taarifa za makambi ya kipindupindu kukosa dawa ama mahujaji 5 wa Tanzania kufa huko hija,ama CCM kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa wananchi!
 
Back
Top Bottom