CHADEMA: Katuni hizi ni funzo tosha kwenu

CHADEMA: Katuni hizi ni funzo tosha kwenu

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,395
Reaction score
13,266
Wakati huu wa mtafaruku ndani ya chama ndipo ukomavu wa uongozi unapotegemewa kuonekana

attachment.php



attachment.php
 

Attachments

  • KIPANYA 2.jpg
    KIPANYA 2.jpg
    18 KB · Views: 1,644
Ni kweli hili ndilo litaikuta CDM. coz vijana hawana ustshimilivu na tamaa mbele uzalendo nyuma
 
Wakati huu wa mtafaruku ndani ya chama ndipo ukomavu wa uongozi unapotegemewa kuonekana

Hizi katuni zina ujumbe mzito sana, nadhani kwa kuwa katika CDM kuna wenye akili wengi hakuna kitakachoharibika.
 
Hizi katuni zina ujumbe mzito sana, nadhani kwa kuwa katika CDM kuna wenye akili wengi hakuna kitakachoharibika.

Inaeleweka mapepo ya CCM yamewapagaa baadhi ya wana CDM kama unavyoona hayataki CDM ifunge goli.Yalikuwa yanafanya kwa siri sasa yameamua kuwa wazi kabisa.Hatimae Mungu atawashindia watu wake

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ujumbe maridhawa,misukule utasikia oooh mchora katuni Katumwa,CDM ina malaika tu tena Ibirisi
 
Wakati huu wa mtafaruku ndani ya chama ndipo ukomavu wa uongozi unapotegemewa kuonekana

attachment.php



attachment.php

Ni picha yenye ujumbe mzito sana kwa viongozi wa CDM na raia tunawashangaaa...... wajenge kuaminiana kwa kweli na wa rekebishe palipo teleza... muda upo
 
Back
Top Bottom