CHADEMA: Jeshi la Polisi Pwani limetoa taarifa ya uongo kuhusu kukamatwa kwa wanachama wetu Kibaha

CHADEMA: Jeshi la Polisi Pwani limetoa taarifa ya uongo kuhusu kukamatwa kwa wanachama wetu Kibaha

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
IMG_5948.jpeg
IMG_5949.jpeg
 
Hawo policcm ni mbwa tu. Naomba sana wafikwe ni matatizo makubwa na laana za wanaowanyanyasa kisa kuwatumikia ccm.
 
Hio signatory ya Brenda Rupia ndio naikubari aisee polisi popote mlipo najua na humu mnapiga doria waambieni CCM hio michezo sio waachieni hao wanachama acheni ubwege nyinyi mnakuaje viazi kiasi hicho mnatumika km pampers
 
Polisi licha ya kukosa akili wanishi katika laana. Usikubali mwanao au nduguyo yeyote kuwa sehemu ya polisi, utaleta laana kwenye familia na ukoo.
 
Hio signatory ya Brenda Rupia ndio naikubari aisee polisi popote mlipo najua na humu mnapiga doria waambieni CCM hio michezo sio waachieni hao wanachama acheni ubwege nyinyi mnakuaje viazi kiasi hicho mnatumika km pampers
Doria mtandaoni 😄

Ova
 
Na siku hizi jeshi la polisi limefunga comment aliyebaki naona anaweza kuongea na wananchi serikali ni dr Doroth gwajima tu hapa JF
Wanatuona mabwege nchi ya kijinga hii, siku watanzania wakiamka kutoka kwenye usingizi watajuta sana
 
Back
Top Bottom