Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,904
- 33,473
Ccm wanaamini kuchanja ni hiari,Mama Samia kasema mkachanje,sasa CCM mmeshindwa kuzimaliza?
Au mama Samia sio mwenyekiti wa chama dume?
Vipi nyie bavicha hamfiki milioni makashambulie zile chanjo chap ziishe maana mlikuwa mnatukana sana Magu kwamba kwanini haleti chanjo