CHADEMA inarudi zama za mateso

CHADEMA inarudi zama za mateso

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
20,142
Reaction score
24,435
Ukiangalia CHADEMA mwaka 2015 ilipata kura mil 6 si kua ina wafuasi hao ukiigawanya hiyo mil 6 unaipata hapa mil 2.5 CHADEMA 1.5 ni wale wasio na chama na wengine walipiga kura za hasira kwa sababu lowassa kakatwa CCM na hawa mil 2 ni CUF hivyo ukijumlisha unapata mil 6 je kwa hali ilivyo sasa chadema wanauwezo wa kupata kura hizo.

CCM wameshakaa sawa kama mnavyoshuhudia kila kukicha wimbi la hama hama wale wenye hasira wameshaamua kurudi. CUF ipo tayari kusimama yenyewe bila mwamvuli wa ukawa naiona CHADEMA ikirudi kwenye zama zake za shida na mateso kwa hesabu hizi hata CHADEMA wakiambiwa wasimamie wao huo uchaguzi kama wanavyodai kuibiwa watajikana au wamlete uhuru Kenyatta kusimamia ni aibu.

Swali ni je CHADEMA ina uwezo wa kufikisha kura mil 6 kwa hali ilivyo sasa ni ndoto!
 
A wishful thinking.
Sasa mbona mmewafungia milango wasifanye siasa, mnaogopa nini?
Muda wowote kutoka sasa kampeni za uchaguzi mdogo wa marudio zitaanza rasmi ndio kipindi siasa!
 
Kiukweli tz bado tuko ktk mfumo wa chama kimoja chini ya mwavuli hewa wa vyama vingi. Kila taasisi imeshikwa kwapani na ccm, polisi, jeshi, takukuru, mahakama, tume ya uchaguzi, bunge nk vyote vimetiwa mfukoni havina uhuru. Alafu mnataka upinzani uoneshe ushindani kivp?
 
Siasa za bongo zinachosha sasa KIONGOZI UNAHAMA UNATUACHA WASHIKA BANGO HATUJIELEWI.
 
Kiukweli tz bado tuko ktk mfumo wa chama kimoja chini ya mwavuli hewa wa vyama vingi. Kila taasisi imeshikwa kwapani na ccm, polisi, jeshi, takukuru, mahakama, tume ya uchaguzi, bunge nk vyote vimetiwa mfukoni havina uhuru. Alafu mnataka upinzani uoneshe ushindani kivp?
Chaguzi zote wanashiriki na kupata wabunge, tume,polisi,bunge,jeshi si ndio hao hao!
 
Kuna kipndi cha mechi na kipindi cha kupima matokeo Cdm mnatàka mnataka muda water mech mtaweza muna pumzi
 
Hata ikiletwa hiyo katiba mpya bado hamjawa tayari kushika dola!
MBELE YA HADHARA
Ndugu wapenzi hapa kwangu ni shwali,salama u salmin unaweza kuacha laptop nje na hakuna kibaka atachukua muwe na amani mpumzike kwa raha mstarehe!?!
NYUMA YA PAZIA
Kabeni kila kona piga kufuli kila geti,mnunueni kila anaeweza kutupaisha, anaeonesha tishio mpotezeni,kiuchumi nk

Katika mazingira haya,
HAPA KWELI PAKO SHWALI AU NI KUJIFARIJI TU?
 
MBELE YA HADHARA
Ndugu wapenzi hapa kwangu ni shwali,salama u salmin unaweza kuacha laptop nje na hakuna kibaka atachukua muwe na amani mpumzike kwa raha mstarehe!?!
NYUMA YA PAZIA
Kabeni kila kona piga kufuli kila geti,mnunueni kila anaeweza kutupaisha, anaeonesha tishio mpotezeni.
HAPA KWELI PAKO SHWALI AU NI KUJIFARIJI TU?
Ni mtizamo wa majukwaa ya siasa!
 
Mlezi wa Chadema tangu kastaafu 2015 Chadema inapitia kipindi kigumu sana!

Makamanda Uchwara wote Siku hizi ni mwendo wa kurekodi clips na ku upload kwny Mitandao Hakuna cha zaid

Tulikuwa tunawaambia ujasiri wa kina Mbowe ulitokana na Mazingira Rafiki ya Kidemokrasia 2005-2015 sio Ujasiri wao halisi, Mbona Sasa wameufaya!

Kamanda wa Mapambano huthibitisha Ukamanda wake wakati wa Vita sio wa amani!
 
Mlezi wa Chadema tangu kastaafu 2015 Chadema inapitia kipindi kigumu sana!

Makamanda Uchwara wote Siku hizi ni mwendo wa kurekodi clips na ku upload kwny Mitandao Hakuna cha zaid
Kwisha kabisa hawana cha kutuambia wananchi!
 
CHADEMA tutasimama ata kama mamluki wakitoka kushinda so 2020 au 2025 ata 2030 tunaweza kufanya kitu kwani tunayatoa makapi tunabki wenye chama tunaoweza kusimama vzl
 
Back
Top Bottom