Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,875
kwa kuwa CCM imeshindwa kuwashtaki basi habari hizo tunazichukulia kama wivu majungu uzushi na umbeya.hao wote wanaohamia chadema wanatuhuma za ufisadi inawezekanaje CDM kuwapokea watu ambao wanatuhuma za ufisadi