CHADEMA Imekaaje?


Kila kitu kinazaliwa,kuishi na kukua baadae kuendelea na mwisho kufa (japo inawezekana recycling pia)....CHADEMA kipo kwenye hatua ya ukuaji sasa....ni Kama kuuliza kwa nini huna miaka hamsini? Ni kwa sababu hujafikisha umri huo....
Kilikuwa hakina mbunge hata mmoja Mwanza sasa kimepata wawili...kilikuwa hakina mbunge shinyanga sasa kimepata 5
 
Reactions: Pai

Wapi amesema kila anaetembelea JF yuko Tanzania? Acha kumuonea huo ndio mchango wake!
 
Roma haikujengwa kwa siku moja. Maendeleo ni hatua! Naamini 2015 watafika huko! Subiri, bado kitambo kidogo tu!
 
duh kama maeneo yote hayo hata diwani hawana then uchaguzi 2015 watadoda sana
 
Katika ki2 najivunia hapa kukwaani ni kuwa huru,silipwi,simtumikii yeyote.
maswali ya mafilili yanaonyesha jinsi anavyo fiki kidogo.
 
Pia Kondoa Kaskazini na Kusini hakuna diwani wa CDM kwa Lusinde nako CDM hawana uongozi wala hawajawahi kutia mguu
Wewe kajibu hoja kule, kuna mdau kauliza vipi kuhusu ile hukumu ya jana ya Lema pale Mahakama ya Rufaa? Mbona huiongelei wewe mbulula?
 

Dawa ya CCM inachemka nayo ni 2015.
 
Wapi amesema kila anaetembelea JF yuko Tanzania? Acha kumuonea huo ndio mchango wake!
Hapo kwenye RED. Anapomwambia mtu sasa ni saa tano usiku, anajuaje huyo anayeandika kama yuko kwenye time zone yake!!.
 
Mimi sijui kama huko kuna Wakristo Wachaga.Embu wenyeji wa huko watuambie
 

kuliko na umasikini wa kutisha na ukosefu wa elimu ndiko ccm mliko!!!
 
Mimi sijui kama huko kuna Wakristo Wachaga.Embu wenyeji wa huko watuambie

mnaona sasa mlivo wadini, kama wewe ni mdini kiasi hiki mwenyekiti wako itakuwaje?
 
Hapo kwenye RED. Anapomwambia mtu sasa ni saa tano usiku, anajuaje huyo anayeandika kama yuko kwenye time zone yake!!.

huyu hawezi kuwa nje ya time zone ya tanzania atakuwa pale ukumbini Lumumba!
 
Wewe kajibu hoja kule, kuna mdau kauliza vipi kuhusu ile hukumu ya jana ya Lema pale Mahakama ya Rufaa? Mbona huiongelei wewe mbulula?

atajibu nini mkuu, mtu mzima akishikwa kende lazima atulie!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi huko kuna wakristo kweli?

haya ni mawazo ya mwana ccm na chama kinaundwa na watu hivyo haya ni mawazo ya chama (ccm), UDINI, lema yuko sahihi nyie ndo waasisi wa udini, period.
 
kuliko na umasikini wa kutisha na ukosefu wa elimu ndiko ccm mliko!!!
Wapi huko ambako kuna utajiri wa kutisha na upatikanaji wa elimu ambako CCM haiko bali ndiko CHADEMA ilipo?.
 
kwa kisarawe aomba nikupe majibu tupo na tumejiimarisha sana sasa kuna chaguzi ndogo za vijijini tumesimamisha watu 5 kwenye vijiji 6 tumeshindwa kimoja kutokana na geography ya eneo husikia na uhakika wa kupata vijiji 3.na mambo yakienda vizuri kisarawe chadema itachukua 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…