Hivi ikitokea (Sidhani kama itatokea) CHADEMA wakashika nchi, hivi safu ya mawaziri na viongozi itatoa wapi?
Maana kwa navyoona, asilimia 70% ya WanaChadema nao najua mimi ni wavuta bangi, wakorofi, watukanaji, mfano mzuri ni huyu kijana anayeitwa Mdude.
Wazee wa chama wengi ni walevi, watu wazima ila hawajaoa, wengi wanaishi kisela sela tu.
Mara wakimbie nje ya nchi, wakitaka kukamatwa, mara washabikie mtanzania kuingizwa katika tuzo kubwa.
Hebu kwa wajuvi wa mambo kama ndugu Mshana Jr nipangieni safu ya uongozi wa CHADEMA 2025 kama wanavyoaini watachukua nchi.
Kumbukeni Corona ipo na inaua, epuka mikusanyiko, kaa ndani, badilisha barakoa kila baada ya masaa manne, Chomwa chanjo kisha endelea kuchukua taadhali.
Maana kwa navyoona, asilimia 70% ya WanaChadema nao najua mimi ni wavuta bangi, wakorofi, watukanaji, mfano mzuri ni huyu kijana anayeitwa Mdude.
Wazee wa chama wengi ni walevi, watu wazima ila hawajaoa, wengi wanaishi kisela sela tu.
Mara wakimbie nje ya nchi, wakitaka kukamatwa, mara washabikie mtanzania kuingizwa katika tuzo kubwa.
Hebu kwa wajuvi wa mambo kama ndugu Mshana Jr nipangieni safu ya uongozi wa CHADEMA 2025 kama wanavyoaini watachukua nchi.
Kumbukeni Corona ipo na inaua, epuka mikusanyiko, kaa ndani, badilisha barakoa kila baada ya masaa manne, Chomwa chanjo kisha endelea kuchukua taadhali.