Chadema hamna matatizo mengine, ukiacha Makonda?

Na hatutamuacha mpaka aje kujibu maswali yafuatayo kama alivyoulizwa na Paskali Mayalla;
-Majina yake yote matatu
-Majina ya wazazi wake wote wawili
-Shule alizosoma-Msingi, Primary na Secondary
-Ufaulu wake kidato cha nne na cha sita
Ama kweli, nchi hii ni kama ya kusadikika. Maji hamna, barabara kwa Lwakatare yamekuwa mahandaki lakini bado hayo wala hata hayawahusu, wako busy na Makonda.

La Makonda likiisha watatafuta wimbo mwingine ilimradi siku zinaenda na wanapata posho zao
 
Kwani CCM hawana matatizo mengine isipokua CDM(Upinzani).
 
Ww kumjadili makonda unaona ni hasara kwa taifa, ina maana ww mtu anapoonyesha majigambo na kuchezea kataba na kutoheshimu sheria unaona ni jambo dogo sijui ww utakuwa na masilahi gani kumtetea mtu anayetaka kuhojiwa kwa dharau ya mihimili mingine ya serikali au hujui alichokitenda, kadharau bunge na mahakama yote hayo yaachwe tu! Jitambue usifanye ww ndo wakili wake kama imekuuma sana kamtetee huko mahakamani na bungeni!
 
"I wish AKUDU be igp" hana hana shughuli nyingine zaidi ya kushughulikia upinzani!
 
Unasema si tatizo
 
Sasa karibu mwezi mzima madawa ya kulevya, mabange yana fyekwa saaaaaanaaaa. Kila siku TV, magazetye ni mafanikio tu ya kuteketeza haya madudu.

Kwa mwendo huu wa kufukua haya madude kiukweli Makonda hatapendwa. Itabidi aandamwe saaaaaana tu, ili asipige vita maugoro ya madawa ya kilevya.
 
Na wewe huna lingine la kufikiria zaidi ya kuwaza chadema..??
Kuwaza na makalio nacho ni kipaji adimu, hilo tundu likipanuka ni cheche zinatoka!
 
Kwani wewe tatizo uliloliona ni hili tu la Makonda kwa nini usiandike tatizo lingine wakati kuna matatizo mengi tu.
 
Kugushi vyeti na majina haikubaliki. Pia vijana wa kiume kuolewa kule Mombasa ni janga.
 

Mkuu, hata usijihangaishe na huyu mtu, amepangiwa kazi maalumu.
 
Matatizo mengine ni kama Njaa, ukandamizaji wa vyombo vya habari, na kushuka kwa uchumi
Yapo mengi tu ila kwavile yakisemwa wataonekana wachochezi kumbe sasa wafanyeje mkuu
 
Mwenyekiti wenu hana kingine zaidi ya Upinzani? Ukiwa na jibu basi huna haja ya kutoka mishipa ya matako kuandika upuuzi kama huu
 
Mheshimwa Msukuma kumbe na yeye ni CHADEMA. Ama kweli njaa mbaya.
Huwa nacheka sana nikisikia mashabiki wa mpira yanga na simba wakibishana
Hata siku moja mshabiki wa timu mojawapo hawezi ku coment postive kwa mpinzania wake
Kwenye siasa kunamambo ya msingi sana ambayo huwezi kuendekeza kama ushabiki wa mpira

Hivi alichokisema msukuma kihusu makonda kina elements zozote za uchadema?
Unajua issue ya juzi bungeni kuhusu makonda ilitoa taswira kwamba iko siku na ni very soon(hata kama chadema wataaamua kukaa kimya)
Upinzani mkubwa utaibuka kutoka ndani ya ssm kwa hoja za msingi kulingana na mambo yanavyo kwenda
So its just the matter of commonsense na si mambo ya kishabikishabiki
 
Eti na hii nayo ni post
 
Unavyowapoint chadema na ukawa kama ndio wanaoenda kuwasilisha kero za wananchi bungeni, kuwaacha hao wengine inamaana kwamba umeanza kuelewa kwamba ni misukule? Maana una-indicate kwamba ni watu wasio na efforts zozote za kuwasilisha kero za wananchi.
 
Mods wakati mwingine upuuzi kama huu hautakiwi kuvumiliwa.mtu anaamua tu kuandika upumbavu na nyie mnakaa kimya tuwaeleweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…