Utaratibu wa nchi yetu,ili uwe Diwani au mbunge lazima ujue kusoma na kuandika tu, nadhani kama sijakosea Rais ndiye anapaswa kuwa angalau na degree (naomba kusahihishwa kama ktk eneo la Rais)
Utaratibu wa nchi yetu,ili uwe Diwani au mbunge lazima ujue kusoma na kuandika tu, nadhani kama sijakosea Rais ndiye anapaswa kuwa angalau na degree (naomba kusahihishwa kama ktk eneo la Rais)