tycoon
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 510
- 569
Mh Mbowe akiwa busy akibadilisha gia angani huku ardhini Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Professor Watoke amejiuzulu wadhifa wake sababu kubwa kwenye barua yake akiandika anashukuru Mungu kuwa sehemu ya Kampeni ambapo CHADEMA ilishinda kata zote,ila kaamua kuachia ngazi kabla historia haijamuharibikia na isitoche uchaguzi wa Mwenyekiti wa Halmashauri Haki haikutendeka.
Ikumbukwe mwezi wa kumi Katibu wa Chadema Hai alijiuzulu ambapo hiyo nafasi ipo wazi mpaka sasa. Kwa maana nyingine Mbowe hana Katibu Makao Makuu wala Jimboni.
Stay Tuned Makatibu kata wanafuata, then mtifuano wa Ruzuku.
Ikumbukwe mwezi wa kumi Katibu wa Chadema Hai alijiuzulu ambapo hiyo nafasi ipo wazi mpaka sasa. Kwa maana nyingine Mbowe hana Katibu Makao Makuu wala Jimboni.
Stay Tuned Makatibu kata wanafuata, then mtifuano wa Ruzuku.