mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,045
- 1,503
Kwa uchache tu nawakumbusha kwamba CCM kupitia Ilani yake imefanya mengi mazuri - kwa ufupi tu:-
REA II, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa umeme sababu ya kuwa upinzani)?
TASAF III, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa fedha za TASAF sababu ya kuwa upinzani)?
Ujenzi wa flyover Dar, (Je, leo kuna Mwana CDM anayekatazwa kuzitumia sababu ya kuwa upinzani)?
Serikali kuhamia Dodoma, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa huduma sababu ya kuwa upinzani - hatuoni pia kiasi cha fedha kilichopungua sababu ya huduma kuwa karibu)?
Mikopo ya wanafunzi Elimu ya Juuu, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa mkopo sababu ya kuwa upinzani)?
Elimu Bila Malipo (Shule za Msingi na Sekondari), (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa fedha sababu ya kuwa upinzani)?
Ulinzi na Usalama wa Nchi, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa ulinzi sababu ya kuwa upinzani)?
Uwajibikaji kwa Taasisi za Umma, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa huduma ofisini sababu ya kuwa upinzani)?
Makusanyo ya Ndani/Mapato ya Serikali, (Kuna Mwana CDM anayezuiwa kutumia miundombinu inayojengwa kwa kuwa ni mpinzani)?
Ujenzi wa Barabara za Lami (Mikoa yote), (Je, leo kuna Mwana CDM anayezuiwa kutumia barabara sababu ya kuwa upinzani)?
Ununuzi wa Ndege, (Je, leo kuna Mwana CDM anayezuiwa kusafiri au kusafirisha sababu ya kuwa upinzani)?
CHADEMA WEKENI AKIBA YA MANENO WAKATI CCM WAKITEKELEZA ILANI - NI KWA MANUFAA YA TAIFA (TANZANIA)
REA II, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa umeme sababu ya kuwa upinzani)?
TASAF III, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa fedha za TASAF sababu ya kuwa upinzani)?
Ujenzi wa flyover Dar, (Je, leo kuna Mwana CDM anayekatazwa kuzitumia sababu ya kuwa upinzani)?
Serikali kuhamia Dodoma, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa huduma sababu ya kuwa upinzani - hatuoni pia kiasi cha fedha kilichopungua sababu ya huduma kuwa karibu)?
Mikopo ya wanafunzi Elimu ya Juuu, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa mkopo sababu ya kuwa upinzani)?
Elimu Bila Malipo (Shule za Msingi na Sekondari), (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa fedha sababu ya kuwa upinzani)?
Ulinzi na Usalama wa Nchi, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa ulinzi sababu ya kuwa upinzani)?
Uwajibikaji kwa Taasisi za Umma, (Je, leo kuna Mwana CDM anayenyimwa huduma ofisini sababu ya kuwa upinzani)?
Makusanyo ya Ndani/Mapato ya Serikali, (Kuna Mwana CDM anayezuiwa kutumia miundombinu inayojengwa kwa kuwa ni mpinzani)?
Ujenzi wa Barabara za Lami (Mikoa yote), (Je, leo kuna Mwana CDM anayezuiwa kutumia barabara sababu ya kuwa upinzani)?
Ununuzi wa Ndege, (Je, leo kuna Mwana CDM anayezuiwa kusafiri au kusafirisha sababu ya kuwa upinzani)?
CHADEMA WEKENI AKIBA YA MANENO WAKATI CCM WAKITEKELEZA ILANI - NI KWA MANUFAA YA TAIFA (TANZANIA)