meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
lazima muelewe hapa imetafutwa mbinu ili kupooza harakati za M4C.wanataka kutusahaulisha juu ya M4C.
wanataka kuwaambia wananchi kuwa amani ya nchi iko katika hatihati,kama mnabisha tutasikia kwenye speech ya rais mwisho wa mwezi.
eti tunaambiwa shekh katekwa halafu maandamano na uchomaji wa makanisa na maskani za ccm ,halafu serikali inapewa masaa 26 kutekeleza amri ya kikundi cha kigaidi,inatii ndani ya masaa kumi....hili movie inabidi wairudishe studio wajanja tumeshtuka bana.
ushauri wangu kwa chadema ni kuendelea na M4C huku mkitolea mfano wa serikali dhaifu inayoshindwa kudhibiti vurugu.kama serikali imeshindwa kumlinda RPC na polisi mmoja huko zanzibar itawezaje kumlinda mama muuza samaki wa ngarenaro?
wanataka kuwaambia wananchi kuwa amani ya nchi iko katika hatihati,kama mnabisha tutasikia kwenye speech ya rais mwisho wa mwezi.
eti tunaambiwa shekh katekwa halafu maandamano na uchomaji wa makanisa na maskani za ccm ,halafu serikali inapewa masaa 26 kutekeleza amri ya kikundi cha kigaidi,inatii ndani ya masaa kumi....hili movie inabidi wairudishe studio wajanja tumeshtuka bana.
ushauri wangu kwa chadema ni kuendelea na M4C huku mkitolea mfano wa serikali dhaifu inayoshindwa kudhibiti vurugu.kama serikali imeshindwa kumlinda RPC na polisi mmoja huko zanzibar itawezaje kumlinda mama muuza samaki wa ngarenaro?