halafu ccm inawaua waandamanaji hao,hata hivyo wale wanaobaki hai si lazima warudi majumbani mwao?au we ulitaka wanaoanzisha maandamano wasikae majumbani mwao?ulitaka wakakae lumumba?
serikali yangu chini ya mhe. Dr kikwete mnaambiwa msiandamane lakini kwa vile kuna viongozi wenyewe iq ndngo kama piriton ndiyo wanasababisha raia wema kuvunja sheria.damu ya arusha,moro.songea,dar itawamaliza cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.