AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Jamani kuna kijana mmoja huwa mara kwa mara anashiriki katika kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV. Kijana huyu ni mwanafunzi wa UDSM lakini jina limenitoka na hata last week(Thursday) alikuwa miongoni mwa wageni rasmi katika mjadala ulioitwa 'Kupanda kwa gharama za maisha, nini kifanyike?'
My take:
Kwa mwanaJF anayemfahamu vizuri kijana yule atutajie jina lake na details zake kwani mara kwa mara amekuwa akionekana na hoja za nguvu na endapo CHADEMA itatamtumia basi i hope that one day atakuja kuwa hazina kubwa ya chama kwani kijana ni mpambanaji, jasiri sana na mwenye msimamo.
My take:
Kwa mwanaJF anayemfahamu vizuri kijana yule atutajie jina lake na details zake kwani mara kwa mara amekuwa akionekana na hoja za nguvu na endapo CHADEMA itatamtumia basi i hope that one day atakuja kuwa hazina kubwa ya chama kwani kijana ni mpambanaji, jasiri sana na mwenye msimamo.