mkuuwamkoa
New Member
- Jan 27, 2015
- 3
- 2
Chadema ni CHAMA kikuu cha upinzani kisicho na Dira wala mwelekeo wa kulikomboa Taifa Zaidi kimejikita kwenye porojo na propaganda ambazo hazina mashiko kwa Watanzania wa leo
Kwa siasa za zama hzi chini ya JPM jiandaeni kukaa pembeni tu kama vipi suseni hata kwenye uchaguzi ujao kwani ndo tabia zenu za kitoto kama mfanyavyo bungeni.
Kwa siasa za zama hzi chini ya JPM jiandaeni kukaa pembeni tu kama vipi suseni hata kwenye uchaguzi ujao kwani ndo tabia zenu za kitoto kama mfanyavyo bungeni.