CHADEMA chama cha watu

CHADEMA chama cha watu

msemakweli10

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
229
Reaction score
46
Hakuna chama kinachosisimua damu za watu kama CHADEMA.

Kwa hali hii inaashiria wazi kushika hatamu msimu ujao.

Chama kimejaa viongozi wanaojua kupangilia hoja zenye mashiko na zinazopelekea imani ya maendeleo katika uchaguzi ujao.

Mbali na hayo chama kimejaa wazee wenye busara ambao walikuwa meza moja na Mwl Nyerere.

Tunatumaini kwamba upendo walio nao watanzania kwa CDM ni sauti moja yenye kudhubutu kukiingiza madarakani 2015.
 
CCM inavyozidi kuoza na kunuka harufu mbaya kama aliyokuwa akiivuta m-kiti wao juzi na kukiri hadharani kwy mkutano wao wenyewe kwa wenyewe. the next day kwy mkutano wa vijana wao unasikia tena pesa zilikuwa zinasambazwa hadharani kweli ccm sasa ni wakati mzuri wa kupumzishwa. KUOZA KWA CCM kunaifanya cdm kuonekana kama LULU.
 
CHADEMA ndo mpango mzima mjini kwa sasa.
CC: Mshinga.

Basi sasa hivi Lumumba 7FC itakuja kwenye hii thread kutuvuruga.
 
Last edited by a moderator:
mimi nawaomba tu viongozi wangu mtu kama zito ni mnafiki sana na ni msaliti mkubwa, wala asipewe nafac ya uongoz ndan ya chama ameshanunuliwa huyu. na atakisambaratisha chama, kijana mdogo unakuwa na tamaa ya pesa kiasi hiki? ndiyo maana kwenye bunge lililopita alikuwa kimya sana, ni bora hata huo uchaguzi unavocheleweshwa ndani ya chama ili waSipewe nafac watu kama hawa,
 
Mimi siwezi kusimama nikavua shat kwa ccm wala chadema: Nijuavyo mimi kukaangwa lazima tutakaangwa tu tunachofanya ni kuchagua sufuria tu.
(ya ccm au chadema)
 
Msalani tujuje huyu jamaa atamwaga nyongo saa ngapi na kupitia media gani namfatilia sana huy jamaa
 
mwigamba ndo mdudu gani chadema? Kile chama cha watz si mali ya mwigamba natulisha waona wengi km yeye
 
Mwigamba ndo wa kukifanya CDM kiache kushughulikia matatizo ya watanzania eti chama chote kijikite kwake? huyu tumemkabidhi kijana wetu hodari JJ na tayari keshaanza kumchakaza kwa hoja na sie wengine tunasonga na M4C kama dawa ...sema, 'CDM 4life!'
 
Mimi siwezi kusimama nikavua shat kwa ccm wala chadema: Nijuavyo mimi kukaangwa lazima tutakaangwa tu tunachofanya ni kuchagua sufuria tu.
(ya ccm au chadema)

Nakubaliana na ww 50%. Ila chadema ni sufuria nzuri. Angalia limekupikia mambo mangapi tena yote na msingi kwa taifa na watz..... hata rais anaiamini zaidi cdm kuliko chama kingibe chochote
 
mimi nawaomba tu viongozi wangu mtu kama zito ni mnafiki sana na ni msaliti mkubwa, wala asipewe nafac ya uongoz ndan ya chama ameshanunuliwa huyu. na atakisambaratisha chama, kijana mdogo unakuwa na tamaa ya pesa kiasi hiki? ndiyo maana kwenye bunge lililopita alikuwa kimya sana, ni bora hata huo uchaguzi unavocheleweshwa ndani ya chama ili waSipewe nafac watu kama hawa,

kaka mbona chadema kuna mafisadi tu tena wakubwa
 
hakuna chama cha ng'ombe duaniani ukiona chama ujue ni cha watu hata ccm,cuf,nccr-mageuzi,tlp na vyenginevyo ni vya watu pia
Nalog off
 
mimi nawaomba tu viongozi wangu mtu kama zito ni mnafiki sana na ni msaliti mkubwa, wala asipewe nafac ya uongoz ndan ya chama ameshanunuliwa huyu. na atakisambaratisha chama, kijana mdogo unakuwa na tamaa ya pesa kiasi hiki? ndiyo maana kwenye bunge lililopita alikuwa kimya sana, ni bora hata huo uchaguzi unavocheleweshwa ndani ya chama ili waSipewe nafac watu kama hawa,
mnachelewesha uchaguzi makusudi ili mumfelishe Zitto ? mbona mnamtenga kiongozi wenu?
Nalog off
 
ZITTO ana CDM kwenye damu ni mtu na si kiatu. Tuache kung'elea watu tuong'elee CDM kama taasisi kama tuna lengo la kufika ambako wote tunawazia. Kuiondoa CCM.
 
Back
Top Bottom