Ni wazi kwamba CHADEMA kama chama bado kinakabiliwa na challenges nyingi ktk kukijenga na kukipa mtazamo mpya. Lakini kuna jambo nimelifikiria ningependa tuchangie kwa mawazo zaidi. Kwa kuwa sasa ni rasmi CHADEMA ina wabunge 45 mjengoni basi ni wakati muafaka kufanya organaizesheni ya kujenga ofisi za CHADEMA. Ikiwa kila mbunge wa CHADEMA atachangia sh 500,000 kwa mwezi (Hii inawezekana kabisa na nimna ya ku-ernegize the base) basi kwa mwezi Tshs kama Milioni 22 zitakusanywa jumlisha na 28 kutoka say kwenye ruzuku kutakuwa na 50milioni kila mwezi. Ambayo ni sawa na milioni 600 kwa mwaka.
Hivyo basi under assumption kwamba maeneo ya ujenzi yatapatikana kwa kujitolea, ramani na baadhi ya vifaa kuna uwezekano wa kujenga ofisi 12 za kisasa katika mikoa kadhaa Tanzania. Zoezi hili likiendelea mwakani ni kwamba kila mkoa utakuwa na ofisi ya kueleweka ya CHADEMA. Hili ni jambo muhimu hasa ukichukulia ofisi ni symbol muhimu kuonyesha permanency ya oganaizesheni yeyote ile.
Ofisi hizi ziwe tofauti kabisa na zile za CCM na Dr. Slaa na wabunge wote wanaweza kutumika kuhamasisha kupata michango zaidi. Kila mwezi mkoa mmoja. Wakati huo huo wanaweza kusecure maeneo kila wilaya kwa ajili ya ofisi hizo pia. Kisha kata, kijiji etc. Namna ya uendeshaji wa ofisi hizo tunaweza kujadiliana na kutoa michango ya mawazo.
CHADEMA tufanye hili linawezekana kabisa. Dr. Slaa, you still have the momentum!
ni wazi kwamba chadema kama chama bado kinakabiliwa na challenges nyingi ktk kukijenga na kukipa mtazamo mpya. Lakini kuna jambo nimelifikiria ningependa tuchangie kwa mawazo zaidi. Kwa kuwa sasa ni rasmi chadema ina wabunge 45 mjengoni basi ni wakati muafaka kufanya organaizesheni ya kujenga ofisi za chadema. Ikiwa kila mbunge wa chadema atachangia sh 500,000 kwa mwezi (hii inawezekana kabisa na nimna ya ku-ernegize the base) basi kwa mwezi tshs kama milioni 22 zitakusanywa jumlisha na 28 kutoka say kwenye ruzuku kutakuwa na 50milioni kila mwezi. Ambayo ni sawa na milioni 600 kwa mwaka.
Hivyo basi under assumption kwamba maeneo ya ujenzi yatapatikana kwa kujitolea, ramani na baadhi ya vifaa kuna uwezekano wa kujenga ofisi 12 za kisasa katika mikoa kadhaa tanzania. Zoezi hili likiendelea mwakani ni kwamba kila mkoa utakuwa na ofisi ya kueleweka ya chadema. Hili ni jambo muhimu hasa ukichukulia ofisi ni symbol muhimu kuonyesha permanency ya oganaizesheni yeyote ile.
Ofisi hizi ziwe tofauti kabisa na zile za ccm na dr. Slaa na wabunge wote wanaweza kutumika kuhamasisha kupata michango zaidi. Kila mwezi mkoa mmoja. Wakati huo huo wanaweza kusecure maeneo kila wilaya kwa ajili ya ofisi hizo pia. Kisha kata, kijiji etc. Namna ya uendeshaji wa ofisi hizo tunaweza kujadiliana na kutoa michango ya mawazo.
Chadema tufanye hili linawezekana kabisa. Dr. Slaa, you still have the momentum!
Bravo, it is a creative idea which will ensure CHADEMA's presence in all regions and Districts. Napendekeza pia kuanzishwa mfuko wa uimarishaji wa CHADEMA kupitia akaunti za Benki za NMB, NBC, CRDB, NBC na Benki nyinginezo bila kusahau mitandao ya simu za mkononi. Lengo liwe kukifikia kila kijiji by year 2014 maana sasa wananchi vijijini wamehamasika kujiunga na CHADEMA tatizo ni kwamba hatuna ofisi wala hawajui wamwone nani.
Dr. Slaa (PhD), wewe ni Jemedari wa mioyo yetu sema tukusaidieje ili tuyafikie malengo ya ukombozi dhidi ya mkoloni, fisadi na dikteta mweusi CCM ambaye ni mbaya kuliko yule tuliyemwondoa 1961 - Mwingereza. Tumechoka kuongozwa na na wezi, vibakauchumi na waganga njaa wa Chama Cha Mafisadi.
Naunga mkono ni wazo zuri. ila labda mtoa hoja asingewawekea kiwango. je kama wao watakuwa tayari kutoa 1milion. au je kama kuna wanaojitoa zaidi ya kiasi hiki. nakubali ni wakati muafaka wa chama kuweka mizizi sasa na kuendelea kupata wanachama zaidi
Ni wazi kwamba CHADEMA kama chama bado kinakabiliwa na challenges nyingi ktk kukijenga na kukipa mtazamo mpya. Lakini kuna jambo nimelifikiria ningependa tuchangie kwa mawazo zaidi. Kwa kuwa sasa ni rasmi CHADEMA ina wabunge 45 mjengoni basi ni wakati muafaka kufanya organaizesheni ya kujenga ofisi za CHADEMA. Ikiwa kila mbunge wa CHADEMA atachangia sh 500,000 kwa mwezi (Hii inawezekana kabisa na nimna ya ku-ernegize the base) basi kwa mwezi Tshs kama Milioni 22 zitakusanywa jumlisha na 28 kutoka say kwenye ruzuku kutakuwa na 50milioni kila mwezi. Ambayo ni sawa na milioni 600 kwa mwaka.
Hivyo basi under assumption kwamba maeneo ya ujenzi yatapatikana kwa kujitolea, ramani na baadhi ya vifaa kuna uwezekano wa kujenga ofisi 12 za kisasa katika mikoa kadhaa Tanzania. Zoezi hili likiendelea mwakani ni kwamba kila mkoa utakuwa na ofisi ya kueleweka ya CHADEMA. Hili ni jambo muhimu hasa ukichukulia ofisi ni symbol muhimu kuonyesha permanency ya oganaizesheni yeyote ile.
Ofisi hizi ziwe tofauti kabisa na zile za CCM na Dr. Slaa na wabunge wote wanaweza kutumika kuhamasisha kupata michango zaidi. Kila mwezi mkoa mmoja. Wakati huo huo wanaweza kusecure maeneo kila wilaya kwa ajili ya ofisi hizo pia. Kisha kata, kijiji etc. Namna ya uendeshaji wa ofisi hizo tunaweza kujadiliana na kutoa michango ya mawazo.
CHADEMA tufanye hili linawezekana kabisa. Dr. Slaa, you still have the momentum!