Sezariziki
Member
- Jul 10, 2013
- 35
- 2
Mimi ni mkazi wa Ubungo na nipo ndani ya kata hii kwa zaidi ya miaka mitano sasa.Jambo la kusikitisha kuna mtu anaitwa Boniface ambaye ndiye diwani wetu lakini wananchi wa huku wameshasahau sura yake.Katika Uchaguzi uliopita naamini nguvu ya Chadema hasa Mh Mnyika ndio ilimpitisha. Wananchi hasa wa mtaa wa Ubungo Nhc ndio kawatupa kabisa yaani akionekana jua ni joto la Mnyika kwenye mikutano yake. MIMI NI NAAPA HUYU JAMAA AKIENDELEA HIVI CHEDEMA KATA YA UBUNGO ITAWAPONYOKA 2015.