Chadema badilikeni!


Ni wewe pekee ndiye mwenye nia nzuri na nchi yetu (Mafisadi). Endelea kutumia tumbo kufikiri.
 

Mkuu hivi unatumia dozi gani ya ugonjwa wako wa pepopunda?
 
Mbona kama ni porojo tuu CCM nao wasingezishindwa.Pengine hujapenda elewa CDM ipo hatua kibao mbele ya CCM.So nadhani ungesema vyema kama ungesema kasi yao ya ukuaji na uwezo wao wa kufanya vitu huku wakiwa wapinzani haujaweza imagine .Pengine ingekuwa fair analysis.Ila kuongea kijuju tuu na kuhitimisha kama hivi ni upofu,ambao upo karibukwa kila mwanaCCM asiyekuwa na muda wa kusikiliza habari na kuelewa yote yanayofanyika na CDM katika siasa za nchi.


Propaganda za CCM mbona zinawaloga wanaCCM zaidi ya wengine?
 
Yaani mtoa mada hii umenichekesha sana, muono wako juu ya CHADEMA siyo sahihi, kwani wanaoleta vurugu kwenye mikusanyiko ya chadema ni nani kama sio police wa ccm? Acha unazi ndugu nchi hii ipo katika hali mbaya inayo sababishwa na ccm.Hivyo toa mawazo ya msingi kuikomboa nchi toka kwa manyang'au na sio kuleta hoja zisizo na mantiki.
 
...Akili magamba kazini....Propaganda zenu hazitafua dafu mbele ya CDM...Watanzania wengi tumeshaustukia upumbavu wenu unaoweza kusababisha umwagaji damu mkubwa nchini.

 
Kawaambie wananchi, sie wenzio tmesoma, tuna macho yanaona. Wala usijisumbue humu.
 
Mafilili umewa attack CDM kwa hoja theoretical zisizo na mashiko.
Shame on you!
 
Inatia huruma kweli. Kwa mwenye akili kidogo bila za mbayuway hahitaji kuelezwa huu uzandiki hapa.
 
Hivi unaongelea cdm ya nchi gani wewe? Sidhani kama uumwi!

 
Ukiona vibaraka wa CDM wanamshambulia mtoa mada na sio mada yenyewe basi ujue wameshikwa pabaya.
 
Wafuasi na wanachama wa CHADEMA wanapenda kusifiwa badala ya kuambiwa ukweli. Kwetu sisi, TUTASEMA KWELI DAIMA

Ukweli gani huo ambao unaosema wewe kilaza,mbona jana amkuwapiga mabomu ya machozi na virungu wahandamanaji wa kiislam waliohandamana bila kibali?imedhihirika kuwa polisi mnawatumia vibaya,badala ya kulinda usalama wa raia na mali zao mnawaua raia wasiokuwa na hatia kuhofia nguvu ya umma,mwisho utafika mbivu na mbichi zitajulikana,mafisadi wakubwa nyie
 

kwa kuwa cdm wanaleta vurugu nchini kwa harakati zao, unashauri nini kifanyike. Wakae kimya? Waendeshe vipi harakati zao? Mbinu mbadala toka kwako zitakuwa na manufaa sana
 
kwa kuwa cdm wanaleta vurugu nchini kwa harakati zao, unashauri nini kifanyike. Wakae kimya? Waendeshe vipi harakati zao? Mbinu mbadala toka kwako zitakuwa na manufaa sana
Kabla ya yote anzeni kufuta hii tabia yenu ya udini na ukabila halafu mpumzisheni mzee Slaa, mbowe na Zitto wanauwezo mzuri zaidi kuendeleza chama. Uvumilivu na busara za Slaa zimepotea zote, amekua mzee wa lolote na liwe.
 
Kwa kweli mafilili na wenzako mna roho ngumu! Yaani roho ya paka!
 
haya kimbia haraka sana pale rumumba utaambulia japo ka elfu mbili kakusindikizie haka kaweekend ..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…