Sihitaji kuwa usalama wa taifa wala mwanasiasa mashuhuri kujua Kitakachotokea baada ya mkutano na raisi wenu, wenu ndio kwani raisi wetu ni yule anayejua matatizo yetu, yeye na nukuu (Mwenyewe sijui kwaninin wananchi wangu masikini).
Kweli Mnyika hawakuliona hili, kila kikao kina minutes zake so za kikao hicho zikwapi ili tuweze kuwaelewa hainingii akilini kuishia kulaumu raisi msanii wakati hauna ushaidi toka mbele ya jamii utueleze usanii wake badala ya kulumbana kama watoto au wajinga
Baadhi ya makosa yenu:
Mikutano mnaifanya siku mbaya kwann msifanye mkutano siku ya madhimisho ya miaka 50 ya uhuru
posho mnakataa harufu mazikubali
Limebaki kosa moja tu mimi niachane kabisa na siasa na hata jukwaa hili.
Kweli Mnyika hawakuliona hili, kila kikao kina minutes zake so za kikao hicho zikwapi ili tuweze kuwaelewa hainingii akilini kuishia kulaumu raisi msanii wakati hauna ushaidi toka mbele ya jamii utueleze usanii wake badala ya kulumbana kama watoto au wajinga
Baadhi ya makosa yenu:
Mikutano mnaifanya siku mbaya kwann msifanye mkutano siku ya madhimisho ya miaka 50 ya uhuru
posho mnakataa harufu mazikubali
Limebaki kosa moja tu mimi niachane kabisa na siasa na hata jukwaa hili.