CHADEMA Acheni kuwahonga Wahariri na Waandishi kuandika Propaganda za Uongo

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
16,003
Amani iwe kwenu.

Ninawaonya Chadema kuacha kutumia hela nyingi za ruzuku kuwalipa Wahariri na Waandishi ili kuandika Propaganda za uongo mwepesi. Tumaini Makene na Abuu Lyongo huu mpango aliutumia Edward na hakufanikiwa.

Hizi gharama mnazoingia zielekezeni kuimarisha chama hasa kuimarisha chama hasa kupanga ofisi kuondoka kwenye majumba ya watu.

Propaganda zina ukomo na zikifika ukomo mtabaki na aibu kubwa kwani ukweli utajidhihiri.Wananchi wengi kwa sasa hawasomi magazeti kutokana na utofauti mkubwa wa habari katika magazeti,yanachosha.

Hao watu mnaowalenga kusoma hizo propaganda sio wapiga kura ni wajanja wajanja tu.

Jisahihisheni.
 
Mtu ajiropokee huko na kusababisha uhaba wa Sukari sasa lawama mnataka kuhamishia kwingine na kutukana wanahabari

Hivi ni kwani Serikali ya Chama Tawala haitaki kukosolewa?

Haya matusi uliyoporomosha kwa waandishi wa Habari hapa yanatoa picha halisi ya Fikra za Utawala huu na wapambe wake kuhusu uhuru wa Habari.
 
Amani iwe kwenu.

Ninawaonya Chadema kuacha kutumia hela nyingi za ruzuku kuwalipa Wahariri na Waandishi ili kuandika Propaganda za uongo mwepesi. Tumaini Makene na Abuu Lyongo huu mpango aliutumia Edward na hakufanikiwa.

Hizi gharama mnazoingia zielekezeni kuimarisha chama hasa kuimarisha chama hasa kupanga ofisi kuondoka kwenye majumba ya watu.

Propaganda zina ukomo na zikifika ukomo mtabaki na aibu kubwa kwani ukweli utajidhihiri.Wananchi wengi kwa sasa hawasomi magazeti kutokana na utofauti mkubwa wa habari katika magazeti,yanachosha.

Hao watu mnaowalenga kusoma hizo propaganda sio wapiga kura ni wajanja wajanja tu.

Jisahihisheni.
Unatokwa povu la nini wewe? hofu ya nini? Yaani ukweli ukiandikwa eti wahariri wanahongwa!Kwahiyo kama wananchi wamezuiwa kuangalia habari za bunge kwenye TV watapaje habari? Endelea kulialia huna jipya.
 
Mtu ajiropokee huko na kusababisha uhaba wa Sukari sasa lawama mnataka kuhamishia kwingine na kutukana wanahabari

Hivi ni kwani Serikali ya Chama Tawala haitaki kukosolewa?

Haya matusi uliyoporomosha kwa waandishi wa Habari hapa yanatoa picha halisi ya Fikra za Utawala huu na wapambe wake kuhusu uhuru wa Habari.
Huku ni kutapatapa, wameanza kuumbuka hawa! Eti unadiscourage watu wasisome magazeti yanachosha! Ujinga mtupu.
 
Mleta thread unahuwakika na Unachokiongea au unaongea ili ujulikane upo? Kitengo cha habari chadema tupo makini na hatuwezi fanya huo ujinga hata mara moja ni vema kabla ya kuongea ukauliza kwanza.

Asante
 
Miezi miwili ya mwanzoni kweli upinzani ulikuwa hauna hoja ila kwa sasa naona mambo yanabadilika ghafla serikali ya chama tawala hamtaki kukili makosa ila mnatafuta mchawi tu wa kumlaumu, wabunge wenu wanashindwa kuzi counter measure hoja za wapinzani ila wanachokifanya ni personal attacks na mambo mingine ambayo hayana msingi Kama yule mbunge anayetaka kulia.ila kila kheri kwa serikali kuelekea Tanzania ya viwanda kikubwa mnapaswa mkubali makosa mliyoyafanya na sio kutafuta mchawi.
 
Mtu ajiropokee huko na kusababisha uhaba wa Sukari sasa lawama mnataka kuhamishia kwingine na kutukana wanahabari

Hivi ni kwani Serikali ya Chama Tawala haitaki kukosolewa?

Haya matusi uliyoporomosha kwa waandishi wa Habari hapa yanatoa picha halisi ya Fikra za Utawala huu na wapambe wake kuhusu uhuru wa Habari.
Tatizo lenu kubwa ni uongo.Matusi yako wapi hapo?..ndio akili hii bungeni mtu anaropoka akiambiwa athibitishe anabaki kuweweseka.

unapobiwa ukweli tuliza kichwa kwanza usiibuke na povu.Kijana huu mchezo hautaki hasira.
Unatokwa povu la nini wewe? hofu ya nini? Yaani ukweli ukiandikwa eti wahariri wanahongwa!Kwahiyo kama wananchi wamezuiwa kuangalia habari za bunge kwenye TV watapaje habari? Endelea kulialia huna jipya.

Kijana mawe yakirushwa usiku usitembee la sivyo yatakupiga.Ndio kilichotokea kwako.Hapo Chadema mambo yanayotendeka ninyi hamuwezi kujua.Hili ni onyo tu...wakiendelea....!
 
Amani iwe kwenu.

Ninawaonya Chadema kuacha kutumia hela nyingi za ruzuku kuwalipa Wahariri na Waandishi ili kuandika Propaganda za uongo mwepesi. Tumaini Makene na Abuu Lyongo huu mpango aliutumia Edward na hakufanikiwa.

Hizi gharama mnazoingia zielekezeni kuimarisha chama hasa kuimarisha chama hasa kupanga ofisi kuondoka kwenye majumba ya watu.

Propaganda zina ukomo na zikifika ukomo mtabaki na aibu kubwa kwani ukweli utajidhihiri.Wananchi wengi kwa sasa hawasomi magazeti kutokana na utofauti mkubwa wa habari katika magazeti,yanachosha.

Hao watu mnaowalenga kusoma hizo propaganda sio wapiga kura ni wajanja wajanja tu.

Jisahihisheni.
Hongo labda itolewe na ccm lakini chadema hawawezi kutoa Hongo kwani Kipindi hiki kigumu waandishi nao ni binadamu wanaumia na ugumu wa maisha uliotokana na Uongozi mpya wa awamu ya tano, Mfano hapo awali hakukuwa na tatizo la sukari kabsa, lakini akakurupuka kufuta vibali vya Uagizaji sukari matokeo yake Ndiyo haya kutwa wanazunguka kwenye Stoo za watu kuzuga wanasaka sukari! Wamesahau kabsa kuwa aliyesababisha hali hii ni Rais mwenyewe, waandishi kwa sasa wanaandika Ukweli hawahitaji Hongo, Hivi ufisadi wa Lugumi, NSSF,NIDA,daraja la Kigamboni, IPTL, escrow nk wanaandika baada ya kupewa Hongo?
 
Miezi miwili ya mwanzoni kweli upinzani ulikuwa hauna hoja ila kwa sasa naona mambo yanabadilika ghafla serikali ya chama tawala hamtaki kukili makosa ila mnatafuta mchawi tu wa kumlaumu, wabunge wenu wanashindwa kuzi counter measure hoja za wapinzani ila wanachokifanya ni personal attacks na mambo mingine ambayo hayana msingi Kama yule mbunge anayetaka kulia.ila kila kheri kwa serikali kuelekea Tanzania ya viwanda kikubwa mnapaswa mkubali makosa mliyoyafanya na sio kutafuta mchawi.
Haya ila Mbowe ndio anajuwa uzito wa mzigo hadi kaenda kwa TB Joshua.
 
Unatokwa povu la nini wewe? hofu ya nini? Yaani ukweli ukiandikwa eti wahariri wanahongwa!Kwahiyo kama wananchi wamezuiwa kuangalia habari za bunge kwenye TV watapaje habari? Endelea kulialia huna jipya.
Dola inazidi kupanda Thamani dhidi ya shilingi, Mzunguko wa pesa umekaa vibaya, wenye pesa zao wengi wamezificha kwa kuwa hawajui nini kitafuata baada ya Sukari, Aina hii ya Utawala huwafanya wananchi kuishi kwa Hofu kubwa kumbuka waandishi ni sehemu ya waathirika wa ukata huu hivyo hawawezi kusubiri wapewe Hongo ndipo waandike chochote, wanaandika kile ambacho kinaendelea sasa.
 
We jamaa ni kilaza aisee...nyie mkurupuke na maauzi yenu yasio na tija kwa wananchi au uwalaumu waandishi na chadema....Nikuulize tokea magufuri amaingia Ikulu ni nini amefanya au amefanyia maamuzi kilichompa ahueni mwananchi wa kawaida wa kijijini....umeme wa uhakika hakuna,madawa hakuna,maji hakuna...hizo show za utumbuaji zitaisha watumbuliwa wataanza kujitumbua wenyewe ili wamaintain kubaki kwenye media...CCM ni ile ile
 
Amani iwe kwenu.

Ninawaonya Chadema kuacha kutumia hela nyingi za ruzuku kuwalipa Wahariri na Waandishi ili kuandika Propaganda za uongo mwepesi. Tumaini Makene na Abuu Lyongo huu mpango aliutumia Edward na hakufanikiwa.

Hizi gharama mnazoingia zielekezeni kuimarisha chama hasa kuimarisha chama hasa kupanga ofisi kuondoka kwenye majumba ya watu.

Propaganda zina ukomo na zikifika ukomo mtabaki na aibu kubwa kwani ukweli utajidhihiri.Wananchi wengi kwa sasa hawasomi magazeti kutokana na utofauti mkubwa wa habari katika magazeti,yanachosha.

Hao watu mnaowalenga kusoma hizo propaganda sio wapiga kura ni wajanja wajanja tu.

Jisahihisheni.
kweli hawa chadema hawa wameficha sukari hadi imekosekana madukani, wamezuia na urushwaji wa bunge live na kuisingizia selekali kuwa ndo imezuia, hawa chadema hawa...................
 
Mtu ajiropokee huko na kusababisha uhaba wa Sukari sasa lawama mnataka kuhamishia kwingine na kutukana wanahabari

Hivi ni kwani Serikali ya Chama Tawala haitaki kukosolewa?

Haya matusi uliyoporomosha kwa waandishi wa Habari hapa yanatoa picha halisi ya Fikra za Utawala huu na wapambe wake kuhusu uhuru wa Habari.
mkuu kila Janga linapokuja huwanufaisha wachache mfano sasa wenye dhamana ya kukamata, kuchunguza nk ni mda wao wa kuvuna Pesa, kutwa wapo busy kwenye magodauni na Stoo ndogo kuchunguza sukari, huko kuna Rushwa ya kutisha, Magufuli yeye anadhani anapambana na ufisadi kumbe anawatengenezea pesa baadhi ya wajanja wachache, ( kufa kufaana) wapo watu wanaombea Magufuli aendelee kuibua Sakata nyingi ili na wao waponee humo humo, Mzunguko wa pesa umehama toka kwa walala hoi sasa upo kwa wenye Dhamana ya kuchunguza kukamata na kufungua mashitaka. Shopping ni super market si sokoni Tandale wala buguruni malapa tena.
 
Nimefungua Uzi hu fasta nikitegemea kukutana na mifano ya hizo habari but nimeambulia patupu. Nilitegemea kukutana na habari ilioandikwa na gazeti x kwa mfano halafu kumbe ilikua ya kupikwa kumbe Majungu tu. Nimesikitikia MB zangu kwa kweli.
 
Lugumi kitwanga ndiyo wanufaika wa Tabia za ccm ile ile, sasa wamesahaulika baada ya sukari kuwafunika na wapo busy kumsaidia Magufuli kusaka Sakata lingine ili wazidi kusahaulika zaidi.
 
Mleta mada tatizo la serikali ambazo azitaki kukosolewa duniani ni serikali ambazo aziendelei kwa vyovyote vile mfano ya Mugabe msisingizie chadema aliyezuia sukari anaujulikana sasa mnahangaika Na kuwasingizia wafanyabiashara wakati kila kitu kinajulikana msifanye wananchi awajinga
 
Nilishaacha kusoma magazeti toka mwaka jana mpaka leo sijawai kununua gazeti la waandishi uchwara wa kibongo
 
Back
Top Bottom