Tukubali kutofautiana.Si kala mtu anayekushauri,ushauri ambao hukubaliani nao ni adui yako.Mimi sina matatizo na Chadema.Mimi sio mnafiki,na siogopi kusema kitu ninacho kiona kina ukweli.NAWAPENDA CHADEMA NDIO MAANA NAWASHAURI.Tunataka ukombozi wa nchi yetu,hatutaki kubadilisha sura tu.Chadema lazima ijipange vema ili kuongoza ukombozi tunaoutaka ambao ni mgumu zaidi kuliko enzi za ukoloni.Chadema kubalini kushaurika.Nchi hii ni yetu sote