Ndekirhepva
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 371
- 44
Angalia neno "achaneni" limetumikaje.Tatizo la wanachama wa Chadema huwa hawapendi ukweli.Ukiwaambia ukweli wanatukana.Mimi niwe na ajenda ya siri kwa ajili ya nini?Kutoa ushauri kama huu ni mapenzi tosha kwa chadema.Jaribuni kuelewa.Nasema Chadema "iachane" na Dr.Slaa.Maana yangu si mfukuze,au ipuze mchango wa Dr.Slaa.Maana yangu ni kwamba tayari Dr.Slaa anauzika,anafahamika,haina haja ya chama kutumia rasilimali nyingi kwa ajili ya mtu mmoja.Iwezeke kwa wanachama/wananchi ambao ndio watakaompigia kura Dr.Slaa wakati wa uchaguzi kama atapitishwa na chama chake.
Kumbe shida yako unataka Chadema iache mikutano ya hadhara, ohh umenowa hapo,
Nashukuru kwa ushauri wako.Mimi sina chama,ila nawaona Chadema wako kwenye mwelekeo mzuri ukiachana na kasoro ndogondogo ambazo huwa hazikosekani katika maisha ya binadamu.Nimeandika haya kwa moyo mkunjufu,na wala lengo halikuwa kuwabomoa Chadema.Nakiri kwamba Hoja yangu ya kwanza,sikuieleza kwa kina.Tuepuka dhana ya kwamba kila anayeisema Chadema ni adui,mwisho wa siku,adui ataachwa,kwa kuparamia wasio maadui.Pia tukubali kuyasikia hata yale tusiyoyapenda.
-Unataka ujue Plan B ya CHADEMAhuku ukiwa umeshajipambanua kuwa Adui?
-Ni jambo la ajabu sana kama atatokea Aduiyako akakushauri juuya aina ya silaha ya kutumia wakati wa mapambano na wewe ukakshawishika na kukubali
Kurukaruka kote kumbe Headache ni Dr.Slaa? Habari mbaya kwako CHADEMA ni Taasisi,U-Dr.Slaa ni taasisi.Wapo Dr.Slaa wengi kwenye kanda n.k.
Ni jambo la ajabu unaleta hoja za upotoshaji humu.Kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani uliopita zimeratibiwa na viongozi wa kanda tu.Sijui unataka kusema nini hapo kwenye hoja ya Decentralization. Jenga hoja ndani ya mantiki ndugu yangu utakuja kujifedhehesha hapa siku nyingnine
Ondoa basi hiyo picha uliyoweka ya Nelson Mandela maana hufanani nae kwenye matendo na kifikra kwa post hii tu uliyoandika
Kutoa ushauri kama huu ni mapenzi tosha kwa chadema.Jaribuni kuelewa.Nasema Chadema "iachane" na Dr.Slaa.Maana yangu si mfukuze,au ipuze mchango wa Dr.Slaa.Maana yangu ni kwamba tayari Dr.Slaa anauzika,anafahamika,haina haja ya chama kutumia rasilimali nyingi kwa ajili ya mtu mmoja.Iwezeke kwa wanachama/wananchi ambao ndio watakaompigia kura Dr.Slaa wakati wa uchaguzi kama atapitishwa na chama chake.
Kutoa ushauri kama huu ni mapenzi tosha kwa chadema.Jaribuni kuelewa.Nasema Chadema "iachane" na Dr.Slaa.Maana yangu si mfukuze,au ipuze mchango wa Dr.Slaa.Maana yangu ni kwamba tayari Dr.Slaa anauzika,anafahamika,haina haja ya chama kutumia rasilimali nyingi kwa ajili ya mtu mmoja.Iwezeke kwa wanachama/wananchi ambao ndio watakaompigia kura Dr.Slaa wakati wa uchaguzi kama atapitishwa na chama chake.
mleta mada alitakiwa tu azungumzie umuhimu wa chadema kutembelea nyumba kwa nyumba ila habari za Dr.Slaa hapa kama umeziingiza pasipohusika.
mwankuga
...nimejaribu kukuelewa lakini badala ya kukuelewa umezidi kunichanganya kwa maelezo yako yasiyoeleweka...unasema Dr Slaa ni mtu muhimu sana Chadema alfu hapohapo unashauri Chadema iachane na Dr Salaa(mtu muhimu)...hivi unaposema mtu muhimu labda unamaana gani?...