tunataka mabadiliko haijalishi tajiri au maskini.Ahadi ipi mkuu,,,huyu tajiri anaweza kweli kutukumbuka maskini,,,???
Ahadi ipi mkuu,,,huyu tajiri anaweza kweli kutukumbuka maskini,,,???
kwa hao wanaosuasua na kususa,mabadiliko tungeyangoja sana,acha laigwanan,atuingize nchi ya ahadi sasa!...
tunataka mabadiliko haijalishi tajiri au maskini.
Ahadi ipi mkuu,,,huyu tajiri anaweza kweli kutukumbuka maskini,,,???
...........Wivu wa kicenge huo! Na wewe "kapigwe" uwe na pesa ili uzisimamie vizuri. Badala ya kumlaumu Baba ako aliekuzaa wakati yeye maskini, unamlalamikia mtu mwingine kuwa na fedha kutokana na juhudi zake. Shame on you!!Laiti bado Kuna mtandao wa Vodacom,,,,pesa zake haziwezi kuisha,,mwanae Fred anasimamia vizuri