Cha mtu huliwa na mtu na kutu yake chuma

Cha mtu huliwa na mtu na kutu yake chuma

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,155
Leo nimesikiliza podcast ya mtu maarufu aliyekua anasimulia alivyobambwa na mpenzi wake wakati wanakulana kwenye choo cha ndege. Yeye mwanaume alikua anatoa miguno wahudumu wakahisi labda ni medical emergency 😂

Haya wanajukwaa njooni tuambizane mizagamuano inayonoga kuliko yote.

Naanza;

  1. Kumisiana, mnakutana na hamjaonana siku nyingi, alikua safarini au hamuishi mkoa mmoja, halafu mnapeane ile kitu inayozama kwa mwenzake.

  2. Ya kuibia ibia, mmetoka mko kwenye starehe, au ofisini, au kwenye gari, chooni, au nyumbani sebuleni wakati hamuishi wenyewe. Ile mnafanya tendo kwa sababu hisia zimewabana mmeshindwa kuvumilia kufika sehemu ya faragha.

  3. Ugomvi, mmegombana halafu mkachuniana au hamkua kwenye good terms halafu mkajikuta mmesawazisha tofauti na mkapeana ule utamu baada ya kusameheana “make up sex, huwa ni moto sana.

  4. Umefuatilia penzi muda mrefu, halafu anakubali kuja kwako na mnaanza kushikana shikana halafu unamchomekea na kumla kwa mara ya kwanza. Na ukute umetiwa hamu na watu humu JF so ashki zimekupanda unahaha kama Mbaga Jr .

    Haya ongeza za kwako zinazonogaga.
CC:
Nusratt , babes sijateguka kiuno ila cha moto nimekiona, sasa hivi najisikia mwepesi hata ukinipuliza kidogo tu napeperuka.
 
Madam ni diemu nikujaze manoti
20250518_193451.jpg
 
Kwa namna vyoo vya kwenye Ndege vilivyo busy, sioni urahisi wa hayo kutokea.

Ingekuwa vyoo vya stendi naweza kukubaliana nawe

Anyways, ipeleke kwenye Uzi wa kimasihara
Nimeshakulana kwenye vyoo vya ndege, night flight.
Tumefunika choo na ile toilet cover, baba watoto kakaa chini nimamkalia kwa juu, ngoma ikaenda.

So si kweli kwamba ni impossible.
 
Nimeshakulana kwenye vyoo vya ndege, night flight.
Tumefunika choo na ile toilet cover, baba watoto kakaa chini nimamkalia kwa juu, ngoma ikaenda.
So si kweli kwamba ni impossible.
Hapo unatufunga kamba Mjukuu

Kuna watu Kila baada ya dakika 5 wanapishana kwenda toilet hasa baada ya kupewa zile bites na Vinywaji

Ukinambia mlifanyia kwenye vyoo vya stendi nakukubalia, lakini kwenye Ndege sio rahisi hata kidogo
 
Sasa huyo jamaa alikuwa anatoa miguno ya nini, mwanaume yake mikito na vijimaswali labda, vimaneno vya kuchombeza, sasa anatoa miguno anatomb...wa yeye au!??

Sex nyingi huwa tamu, iwe ya kushtukiza, iwe baada ya ugomvi, hizi zinaweza ongoza kwa utamu nyingine zikafata, ila ukiwa na hamu mara nyingi ndio utamu utakaoupata,

Sisi wanaume utamu na pale kwenye kukojoa tu, kwingine kote tunaongopeana.. huku kwingine tunapata utamu wa kiakili, kuona vile nakuzagamua, unakojoa, unaugulia UKUNI, mara nimekufanyia michezo michezo, kiasi we mwenyewe unaukamata MWINCHI unaudumbukiza, au ile moment unaomba nitie hata kichwa, vile unavyokakamaa, unavuruga mashuka etc tunainjoi kiakili, tunajiona ndio wanaume haswaa, pale unapolalamika kojoa nimechoka, ama tumemaliza usingizi ukakupitia, ama ukashuka kwenda chooni miguu inakutetemeka, pale tunainjoi sana..

Sisi ni mkojo tu tena kwa sekunde kadhaa.
 
Back
Top Bottom