Cha Kwanza...The first Things..

kapesly

Senior Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
163
Reaction score
108
Huu no Uzi wa kutupia picha za vitu vya kwanza tu...yaani popote katika hii dunia na nje ya dunia
 
Hpo kwenye "world first accident" wangeandika "world first car accident" maana cdhani km ajali tofauti na za magari zilikuwa hazitokei nyumba kuangukiwa na miti na kadhalika ila kwa ajali ya gari ya kwanza naweza kukubali
 
Nina mashaka na hiyo world's first camera!!
Ilipigwa picha na kamera ipi nyingine wakati yenyewe ndo ilikuwa ya kwanza kabisa kuundwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…